Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA MAGHARIBI ASHAMBULIWA

Makamu Mwenyekiti Uenezi CHADEMA, Kanda ya Magharibi, Deogratius Liyunga akiwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni) baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana (Picha na Editha Karlo). Na Editha Karlo, Kigoma
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KIONGOZI WA CHADEMA MKOANI KIGOMBA ASHAMBULIWA NA WATU WASIOJULIKANA

Maelezo ya picha;Makamu mwenyekiti Uenezi CHADEMA kanda ya Magharibi Deogratius Liyunga akiwa amelazwa katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma(Maweni)baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana(Picha na Editha Karlo).
Na Editha Karlo,Kigoma.
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Magaharibi,Deogratius Liyunga na kupelekea kulazwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Shabaab ashambuliwa

Jeshi la Marekani limefanya shambulizi la makombora dhidi ya mtu anayeshukiwa kuwa mmoja wa viongozi wa al-Shabaab nchini Somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa waasi ashambuliwa Ukraine

Mwanasiasa anayetambulika kama muasi mkuu nchini Ukraine yuko katika hali mahututi hospitalini baada ya watu waliokuwa wamejihami kumpiga risasi akiwa ndani ya gari lake.

 

11 years ago

GPL

KIONGOZI WA ZAMANI WA MUNGIKI ASHAMBULIWA, WATANO WAPOTEZA MAISHA

Aliyekuwa kiongozi wa Kundi la Mungiki, Maina Njenga akiwa Hospitali ya Wilaya ya Nyahururu baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana. WATU watano wamepoteza maisha huku aliyekuwa kiongozi wa Kundi la Mungiki, Maina Njenga akijeruhiwa baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana nchini Kenya jana. Maina alikuwa akisafiri na wenzake kwa shughuli za kifamilia kabla ya kushambuliwa kwa risasi katika barabara ya Ol Kalou,...

 

10 years ago

Michuzi

TABORA WAZINDUA KAMPENI YA NYOTA YA KIJANI KANDA YA MAGHARIBI

Baadhi ya wananchi wa wadau wa Afya wakifanya maandamano wakati wa Uzinduzi wa kampeni ya NYOTA YA KIJANI uliofanyika eneo la kumbukumbu ya Mwl.Nyerere Tabora mjini. Mmoja kati ya maafisa kutoka Wizara ya Afya Bi.Isabela Nyalusi akisoma taarifa fupi ya hali ya matumizi ya Uzazi wa Mpango kwa kanda ya Magharibi ambapo inaonesha kuwa mikoa ya kanda ya magharibi ina kiwango kidogo cha utumiaji wa huduma za uzazi wa mpango kwa asilimia 19 ikilinganishwa na mikoa ya kanda ya kaskazini yenye...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali kudhibiti mipaka 53 isiyo rasmi Kanda ya Magharibi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akikata utepe wakati wa hafla ya uzinduzi wa ofisi ya Shirika la Viwango (TBS) Kanda ya Magharibi itakayohudumia mikoa ya Kigoma,Katavi na Rukwa.Hafla hiyo imefanyika Mjini Kigoma.

***********************************

Na Mwandishi Wetu- TBS

Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Wizara nyingine zitadhibiti mipaka isiyo rasmi 53 katika mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa ili kukabiliana na changamoto ya uingizaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Kigogo Chadema ashambuliwa Kigoma

Kigoma. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uenezi Kanda ya Magharibi (Chadema), Deogratius Liyunga amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Kigoma, Maweni baada ya kujeruhiwa na kundi la watu alipokuwa anaelekea nyumbani kwake usiku wa juzi.

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU WA CHADEMA KANDA YA KASKANI AKIZINDUA MPANGO WA KUICHANGIA CHADEMA

 Katibu wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Amani Golugwa akifafanua jambo
kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Uzinduzi wa mpango wa
kuchangia Chadema kwa kutumia simu za mikononi kukiwezesha chama hicho kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Picha na mahmoud ahmad

 

10 years ago

Vijimambo

MAPOKEZI YA MBUNGE WA CHADEMA MBOZI MAGHARIBI MH DAVID SILINDE YAVUNJA REKODI

Mbunge wa Mbozi Magharibi Mheshimiwa David Silinde akiwahutubia wakazi wa Tunduma waliompokea.Msafara wa Magari, Bajaji na Bodaboda uliompokea Mheshimiwa David Silinde.Wakazi wa Tunduma wakimsikiliza Mheshimiwa David Silinde baada ya kupata mapokezi makubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani