TABORA WAZINDUA KAMPENI YA NYOTA YA KIJANI KANDA YA MAGHARIBI
![](http://1.bp.blogspot.com/-nuDBjIMrVus/VIhzgGULuAI/AAAAAAAAL4o/nugj9YQMEbE/s72-c/UZAZI%2BWA%2BMPANGO.1.jpg)
Baadhi ya wananchi wa wadau wa Afya wakifanya maandamano wakati wa Uzinduzi wa kampeni ya NYOTA YA KIJANI uliofanyika eneo la kumbukumbu ya Mwl.Nyerere Tabora mjini.
Mmoja kati ya maafisa kutoka Wizara ya Afya Bi.Isabela Nyalusi akisoma taarifa fupi ya hali ya matumizi ya Uzazi wa Mpango kwa kanda ya Magharibi ambapo inaonesha kuwa mikoa ya kanda ya magharibi ina kiwango kidogo cha utumiaji wa huduma za uzazi wa mpango kwa asilimia 19 ikilinganishwa na mikoa ya kanda ya kaskazini yenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 May
Kuelekea Ligi ya Mabingwa Pluijm amulika nyota A/Magharibi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KLABU ya Yanga sasa akili zao zote ni kujipanga kwa Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani, inaelezwa tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amewamulika baadhi ya wachezaji nyota kutoka Afrika Magharibi ili kuwasajili.
Katika mpango huo wa Mholanzi, inadaiwa ametamanishwa na wachezaji wawili kutoka Ghana, ambao anafikiria kuwanasa kwa msimu ujao ili kuipa makali zaidi Yanga ambayo msimu huu imeishia raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kutolewa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akTUaZfqXTUUFqhJqf2AF6D1pc4vn5cRSsrQ6evgxSkLn5qJ-chdEI-9UTdurLKqxCe63F2*pMchb4W79hfeNYCn/liyunga.jpg)
KIONGOZI WA CHADEMA KANDA YA MAGHARIBI ASHAMBULIWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b90UzIrtu4E/XvMvEyEtLAI/AAAAAAALvOg/aVdxWZMXjXYy5te6QFjzeyPaWeFZNXiIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-46.jpg)
Serikali kudhibiti mipaka 53 isiyo rasmi Kanda ya Magharibi
![](https://1.bp.blogspot.com/-b90UzIrtu4E/XvMvEyEtLAI/AAAAAAALvOg/aVdxWZMXjXYy5te6QFjzeyPaWeFZNXiIgCLcBGAsYHQ/s640/1-46.jpg)
***********************************
Na Mwandishi Wetu- TBS
Wizara ya Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Wizara nyingine zitadhibiti mipaka isiyo rasmi 53 katika mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa ili kukabiliana na changamoto ya uingizaji...
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Kanda ya Kaskazini wazindua siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia
![](http://2.bp.blogspot.com/-FnAchglQSks/VlKY7n0MP5I/AAAAAAAAW3E/R5pcgKeMg1A/s640/IMG_9380%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KbfpG4JXf78/VlKY4cbUG7I/AAAAAAAAW2s/cutNFy4Pqi8/s640/IMG_9357%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7Ial37M7j8Q/VlKY4zuLTsI/AAAAAAAAW2w/mE3w73EiAHU/s640/IMG_9371%2B%25281024x683%2529.jpg)
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Upinzani Tanzania wazindua kampeni
9 years ago
Habarileo27 Aug
Ukawa Morogoro wazindua kampeni
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Jimbo la Morogoro Mjini vimezindua kampeni zao kwa kumnadi mgombea wa ubunge kupitia Chadema, Marcossy Albanie pamoja na wagombea wa udiwani kwa kata 29.
10 years ago
Habarileo08 Sep
NBC wazindua kampeni wateja kushinda gari
BENKI ya NBC imezindua kampeni inawowapa wateja wa benki hiyo nafasi ya kuweka akiba na kujishindia gari aina ya Nissan Double Cabin Pick up.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Chadema Kawe, Ilala, Ukonga wazindua kampeni