MAPOKEZI YA MBUNGE WA CHADEMA MBOZI MAGHARIBI MH DAVID SILINDE YAVUNJA REKODI
![](http://3.bp.blogspot.com/-qxyOoZzfo2Y/VacEmkEFG5I/AAAAAAAATNk/9qCDQqqTY0U/s72-c/FB_IMG_1437008475701.jpg)
Mbunge wa Mbozi Magharibi Mheshimiwa David Silinde akiwahutubia wakazi wa Tunduma waliompokea.
Msafara wa Magari, Bajaji na Bodaboda uliompokea Mheshimiwa David Silinde.
Wakazi wa Tunduma wakimsikiliza Mheshimiwa David Silinde baada ya kupata mapokezi makubwa.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:David Silinde
10 years ago
Mwananchi11 Mar
KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : CCM ijihadhari majimbo ya Mbarali, Mbozi Magharibi na Mbozi Mashariki
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Mbunge wa Kahama, James David Lembeli aondoka CCM na kujiunga rasmi na CHADEMA
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo...
10 years ago
GPLMBUNGE WA KAHAMA, JAMES DAVID LEMBELI AONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA
10 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: MBUNGE WA KAHAMA, JAMES DAVID LEMBELI AONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA
10 years ago
MichuziBREEKING NEWSSSSS:MBUNGE WA KAHAMA, JAMES DAVID LEMBELI AONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
KQ yavunja safari za Afrika Magharibi
10 years ago
StarTV28 Dec
Madiwani Mbozi Magharibi wapeleka maombi ya kubadilisha jina.
Na Fredy Bakalemwa,
Mbeya.
Baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Momba mkoani Mbeya limepitisha mapendekezo ya kupeleka maombi maalumu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutaka jina la Jimbo la Mbozi Magharibi libadilishwe kuwa jimbo la Momba.
Katika mapendekezo hayo, baraza hilo pia limeomba halmashauri ya mji wa Tunduma kuwa jimbo la uchaguzi ikizingatiwa idadi kubwa ya watu waliopo.
Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, wilaya hiyo ina zaidi ya watu 293,000, kati ya...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kilimanjaro yavunja rekodi ya 1995