Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Mbozi Magharibi wapeleka maombi ya kubadilisha jina.

Na Fredy Bakalemwa,

Mbeya.

 

Baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Momba mkoani Mbeya limepitisha mapendekezo ya kupeleka maombi maalumu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutaka jina la Jimbo la Mbozi Magharibi libadilishwe kuwa jimbo la Momba.

Katika mapendekezo hayo, baraza hilo pia limeomba halmashauri ya mji wa Tunduma kuwa jimbo la uchaguzi ikizingatiwa idadi kubwa ya watu waliopo.

Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, wilaya hiyo ina zaidi ya watu 293,000, kati ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : CCM ijihadhari majimbo ya Mbarali, Mbozi Magharibi na Mbozi Mashariki

Jimbo la Mbarali kama yalivyo mengine lilianza siasa za vyama vingi mwaka 1995 kwa ushawishi wa kipekee kutoka kwa vyama mbalimbali, huku NCCR Mageuzi ikionyesha kila aina ya makeke.

 

10 years ago

GPL

DK. SLAA AVISHWA VAZI LA KICHIFU, APEWA JINA LA 'MWENE WA MBOZI' HUKO MBOZI MKOANI MBEYA

Kiongozi wa Machifu wa Kabila la Wanyiha, Greenwell Msangawale akimvisha vazi maalum la kichifu Dk.Slaa. Kiongozi wa Machifu wa Kabila la Wanyiha, Greenwell Msangawale akiongea na wananchi wa Mbozi baada ya zoezi hilo.…

 

10 years ago

Mwananchi

TIC yabariki AGB kubadilisha jina

Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) kimesema hakuna tatizo la kubadilisha jina la kampuni au shirika wakati uongozi na mambo mengine yakibaki kama yalivyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani Mbozi ‘chupuchupu’

Madiwani wa CCM wilayani hapa juzi walinusurika kupokonywa wadhifa huo kwa tuhuma za uzembe na kutowabana watendaji wanaoisababishia halmashauri hiyo kupata hati chafu kwa miaka mitatu mfululizo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAPOKEZI YA MBUNGE WA CHADEMA MBOZI MAGHARIBI MH DAVID SILINDE YAVUNJA REKODI

Mbunge wa Mbozi Magharibi Mheshimiwa David Silinde akiwahutubia wakazi wa Tunduma waliompokea.Msafara wa Magari, Bajaji na Bodaboda uliompokea Mheshimiwa David Silinde.Wakazi wa Tunduma wakimsikiliza Mheshimiwa David Silinde baada ya kupata mapokezi makubwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JWT wapeleka majina kuunda kamati

UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) kesho utapeleka kwa Waziri wa Fedha majina matano yaliyopendekezwa kuunda kamati ya watu 10 baina yao na Mamlaka ya Mapato (TRA) yenye lengo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

WWF-Tanzania wapeleka neema Kilwa

JUMAMOSI ya Machi 30 mwaka huu, ilikuwa ni siku ya furaha kwa wananchi wa Kijiji cha Nakiu, Kata ya Nakiu katika Tarafa ya Nanjilinji baada ya kupatiwa mitambo ya kuwasha...

 

10 years ago

GPL

EL CLASICO: MATHIEU, SUAREZ WAPELEKA KILIO REAL MADRID

Luis Suarez akishangilia bao aliloifungia Barcelona na kuipa ushindi wa 2-1 dhidi ya Real Madrid usiku huu. Lionel Messi akijaribu kuwatoka wachezaji wa Real Madrid wakati wa mechi hiyo. Cristiano Ronaldo akiifungia Real Madrid bao pekee…

 

9 years ago

Vijimambo

MBATIA,SELASINI NA KOMU WAPELEKA MABADILIKO JIMBO LA MOSHI VIJIJINI

Viongozi wa Chadema wakiwasili katika uwanja wa Limpopo TPC kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni kwa mgombea Ubunge wa jimbo hilo,Anthony Komu.
Baaadhi ya viongozi na wanachama wa Chadema wakiwa katika mkutano huo.Mgombea Ubunge katika jimbo la Rombo ,Joseph Selasini ,akizunbumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni katika jimbo la Moshi vijijini.Wananchi wakifuatolia mkutano huo.Mgombea Ubunge jimbo la Rombo ,Joseph Selasini akisalimiana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Vunjo,James Mbatia wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani