TIC yabariki AGB kubadilisha jina
Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) kimesema hakuna tatizo la kubadilisha jina la kampuni au shirika wakati uongozi na mambo mengine yakibaki kama yalivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV28 Dec
Madiwani Mbozi Magharibi wapeleka maombi ya kubadilisha jina.
Na Fredy Bakalemwa,
Mbeya.
Baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Momba mkoani Mbeya limepitisha mapendekezo ya kupeleka maombi maalumu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutaka jina la Jimbo la Mbozi Magharibi libadilishwe kuwa jimbo la Momba.
Katika mapendekezo hayo, baraza hilo pia limeomba halmashauri ya mji wa Tunduma kuwa jimbo la uchaguzi ikizingatiwa idadi kubwa ya watu waliopo.
Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, wilaya hiyo ina zaidi ya watu 293,000, kati ya...
10 years ago
GPL
CCM YABARIKI UBUNGE WA WEMA
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Kamati ya Wassira yabariki adhabu ya kifo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Steven Wassira
Na Debora Sanja, Dodoma
LICHA ya sheria ya kunyonga kupigiwa kelele na jumuiya za kimataifa, wajumbe wa kamati namba sita ya Bunge Maalumu la Katiba wamependekeza iendelee kutumika nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma jana, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Steven Wassira, alisema hali hiyo ilijitokeza wakati wa kujadili Sura ya nne ya Rasimu ya Katiba.
“Wapo baadhi ya wajumbe walitaka adhabu ya kifo ifutwe,...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
TFF yabariki rasmi Simba kuchaguana
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limebariki rasmi kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba kama ulivyopangwa awali hapo Juni 29. Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisa Habari wa TFF,...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Fifa yabariki Okwi kuchezea Yanga
11 years ago
Habarileo29 Jul
Sumatra sasa yabariki tiketi za mitandao
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra) imesema haina pingamizi kwa kampuni zinazotoa huduma ya usafiri wa mabasi kwenda mikoani kutumia mfumo wa kuuza tiketi kwa njia ya mtandao.
11 years ago
GPL
Yanga yabariki kuondoka kwa Niyonzima
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Caf yabariki Uwanja wa Azam Complex kimataifa