CCM YABARIKI UBUNGE WA WEMA
![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3swrtIHbQND7-CUKWI7Lw2htcYQxJg5*RFG8telASw0aaTEgYaj8gRy-or7VdP4fG3wcjTAWxdTCLlsFYsu3l6Tj/Wema.jpg?width=650)
Gladness Mallya BARAKA! Siku chache baada ya mwanadada anayefanya vizuri kwenye filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), chama hicho kimempa baraka mrembo huyo kwa uamuzi wake huo. Akistorisha na gazeti hili, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema kila mwanachama ana haki ya kugombea uongozi wowote ule ilimradi awe mwanachama hai, hivyo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Feb
CCM yabariki Mgimwa kumrithi baba yake
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge
Mzee Majuto kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;
Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]
9 years ago
Bongo Movies18 Nov
Wema, JB, FA Kuukwaa Ubunge?
NAFASI kumi ambazo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anazo kikatiba kuteua mtu kuwa mbunge, moja itatumika kumteua msanii ili aweze kuwawakilisha wenzake, wanaotajwa zaidi kuukwaa ubunge huo ni Hamisi Mwinjuma ‘MwanaFA’, Jacob Steven ‘JB’ na Wema Sepetu.
Chanzo cha habari kilicho ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimelidokeza gazeti hili kuwa baada ya kushiriki kikamilifu katika kampeni zilizokiwezesha chama hicho kushinda, kimeoni ni jambo la busara kama mmoja wao atateuliwa ili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j1rLYzHjKSsM*bPlaLOicGfyxwiVTIsrROlT2GLDlUmZJXqy6NzPUmNvSlGrCb7D6DmuOGPqRxYBh9HsbGrGq8Y/Wema.gif?width=650)
ALIYEMSUKUMA WEMA KUGOMBEA UBUNGE AJULIKANA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-E3Ed8dB7P-E/VYE6uVvxFGI/AAAAAAABQTo/7NM0Qo3i_58/s72-c/Wema-Sepetu-akina-na-mama-yake.jpg)
WEMA SEPETU KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E3Ed8dB7P-E/VYE6uVvxFGI/AAAAAAABQTo/7NM0Qo3i_58/s640/Wema-Sepetu-akina-na-mama-yake.jpg)
Wema Sepetu akiwa na mama yake
Mashabiki wake aka Team Wema wameandika ujumbe: Nina wazo kwenu nyote. Kwa upendo tuliekuwa nao kwa madame. Naomba tumsuport kwa hali na mali. Kila anae jua anampenda Wema tumchangie ili kampeni yake iende vizuri. Anategemea kuchukua form ya kugombea ubunge viti maalum mkoani Singida tarehe 15/7/2015. Mko tayari tumsuport madame wetu? Naomba mnipe jibu. wazo...