Wema, JB, FA Kuukwaa Ubunge?
NAFASI kumi ambazo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anazo kikatiba kuteua mtu kuwa mbunge, moja itatumika kumteua msanii ili aweze kuwawakilisha wenzake, wanaotajwa zaidi kuukwaa ubunge huo ni Hamisi Mwinjuma ‘MwanaFA’, Jacob Steven ‘JB’ na Wema Sepetu.
Chanzo cha habari kilicho ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimelidokeza gazeti hili kuwa baada ya kushiriki kikamilifu katika kampeni zilizokiwezesha chama hicho kushinda, kimeoni ni jambo la busara kama mmoja wao atateuliwa ili...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge
Mzee Majuto kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;
Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3swrtIHbQND7-CUKWI7Lw2htcYQxJg5*RFG8telASw0aaTEgYaj8gRy-or7VdP4fG3wcjTAWxdTCLlsFYsu3l6Tj/Wema.jpg?width=650)
CCM YABARIKI UBUNGE WA WEMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j1rLYzHjKSsM*bPlaLOicGfyxwiVTIsrROlT2GLDlUmZJXqy6NzPUmNvSlGrCb7D6DmuOGPqRxYBh9HsbGrGq8Y/Wema.gif?width=650)
ALIYEMSUKUMA WEMA KUGOMBEA UBUNGE AJULIKANA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-E3Ed8dB7P-E/VYE6uVvxFGI/AAAAAAABQTo/7NM0Qo3i_58/s72-c/Wema-Sepetu-akina-na-mama-yake.jpg)
WEMA SEPETU KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E3Ed8dB7P-E/VYE6uVvxFGI/AAAAAAABQTo/7NM0Qo3i_58/s640/Wema-Sepetu-akina-na-mama-yake.jpg)
Wema Sepetu akiwa na mama yake
Mashabiki wake aka Team Wema wameandika ujumbe: Nina wazo kwenu nyote. Kwa upendo tuliekuwa nao kwa madame. Naomba tumsuport kwa hali na mali. Kila anae jua anampenda Wema tumchangie ili kampeni yake iende vizuri. Anategemea kuchukua form ya kugombea ubunge viti maalum mkoani Singida tarehe 15/7/2015. Mko tayari tumsuport madame wetu? Naomba mnipe jibu. wazo...
10 years ago
Bongo Movies18 Jun
Ubunge Viti Maalum, Wema Sepetu Atua Singida
STAA wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ametangaza nia ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia CCM mkoani Singida.
Wema tayari ametua mkoani Singida akiambatana na mama yake kwa ajili ya zoezi hilo ambapo amepokelewa kwa shangwe na mashabiki wake.
Cloudsfm.com
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-6ByBRD_x-OU/VYEWCrdJ_2I/AAAAAAAACGs/tyI_wtmhEqQ/s72-c/1386425215.png)
WEMA SEPETU AZUNGUMZA KUHUSU KUGOMBEA UBUNGE SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6ByBRD_x-OU/VYEWCrdJ_2I/AAAAAAAACGs/tyI_wtmhEqQ/s400/1386425215.png)
Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho alisema..
”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuamasisha vijana wajitokeze...
10 years ago
Bongo Movies17 Jul
Picha: Wema Sepetu Akichukua Fomu za Ubunge Mkoani Singida
Hizi ni baadhi ya picha za staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na team yake alipokuwa mkoani Singida akichukua fomu kwenye ofisi za chama cha mapinduzi (CCM).
Wema anawania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kupitia jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) ya chama hicho.