Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubunge Viti Maalum, Wema Sepetu Atua Singida

STAA wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ametangaza nia ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia CCM mkoani Singida.

Wema tayari ametua mkoani Singida akiambatana na mama yake kwa ajili ya zoezi hilo ambapo amepokelewa kwa shangwe na mashabiki wake.

Cloudsfm.com

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WEMA SEPETU KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM SINGIDA

Wema Sepetu huenda akaingia kwenye siasa kwa kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida.

Wema Sepetu akiwa na mama yake
Mashabiki wake aka Team Wema wameandika ujumbe: Nina wazo kwenu nyote. Kwa upendo tuliekuwa nao kwa madame. Naomba tumsuport kwa hali na mali. Kila anae jua anampenda Wema tumchangie ili kampeni yake iende vizuri. Anategemea kuchukua form ya kugombea ubunge viti maalum mkoani Singida tarehe 15/7/2015. Mko tayari tumsuport madame wetu? Naomba mnipe jibu. wazo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Safari ya Wema Sepetu imeiva, ubunge viti maalum mkoa wa Singida

DSC00396

Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, (kushoto) akipokea fomu za kuwania ubunge viti maalum mkoa wa Singida kutoka kwa Katibu wa UWT wilaya ya Ikungi, Yagi Kiaratu.

DSC00401

DSC00393

Miss Tanzania 2006,Wema Sepetu alipokuwa akijiandaa kulipa ada ya uchukuzi wa fomu za kuwania ubunge viti maalum mkoa wa Singida leo (17/7/2015).Kulia ni katibu UWT wilaya ya Ikungi mkoani Singida.

DSC00403

Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, akitoka ndani ya ofisi ya CCM wilaya ya Ikungi baada ya kukabidhiwa fomu za kuwania ubunge viti...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wema Sepetu aanza safari ya kuwania Ubunge wa Viti maalum Singida

Wema

Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Bi Wema Sepetu akipokea maelekezo kutoka kwa katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Bwana Alluu Ismaili Segamba kabla ya kuongea na wananhi pamoja na wanachama waliohudhuria kwenye mkutano huo. (Picha zote na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly,Ikungi     

Hatimaye aliyewahi kuwa, Miss Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Wema Spetu ameanza safari maalum ya kuwania nafasi ya Ubunge kupitia chama cha Mapinduzi Mkoani Singida, ambapo ni chimbuko la Mama yake...

 

10 years ago

GPL

WEMA SEPETU ATANGAZA NIA, KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM SINGIDA

Wema Sepetu akiwa na mama yake mzazi mkoani Singida. STAA wa filamu nchini ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ametangaza nia ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia CCM mkoani Singida. Wema tayari ametua mkoani Singida akiambatana na mama yake kwa ajili ya zoezi hilo ambapo amepokelewa kwa shangwe na mashabiki wake. ...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo Movies

Ubunge Viti Maalum CCM Waibua Mapya Singida

Kinyang’anyiro cha ubunge wa viti maalum katika mkoa wa Singida  kimeibua mapya, baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Ikungi, Christina Hamis, kutishia kususia kuingia kwenye ofisi za jumuiya hiyo na kuhama chama.


Mwenyekiti huyo anakusudia kuchukua uamuzi huo kwa madai kuwa Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Aluu Segamba, anamlazimisha amuunge mkono mgombea ubunge wa Viti Maalumu (CCM), Wema Sepetu.
Christina alisema pamoja na kwamba yeye ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

UVCCM Singida yamchagua msomi Fancy Nkuhi Ubunge Viti maalum kupitia vijana

fancy

Fancy Nkuhi ambaye ameshinda katika nafasi ya Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Viti maalum kupitia vijana katika Mkoa wa Singida.

KAPETO

KATIBU wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akizungumza kwenye mkutano mkuu wa UVCCM wa uchaguzi wa nafasi ya mgombea Ubunge wa viti maalumu kupitia vijana  jana mkutano huo ulimchagua Fancy Nkuhi kuwa mwakilishi wao kwa kupata kura 21 dhidi ya 8 za Jamila Kitila.

LISU

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Singida, Labia Lissu akizungumza kwenye mkutano huo, kulia n mchumi wa...

 

10 years ago

Africanjam.Com

WEMA SEPETU AZUNGUMZA KUHUSU KUGOMBEA UBUNGE SINGIDA

Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Abraham Sepetu leo June 16 kupitia kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM amefunguka kuhusiana na kuchukua fomu ya ubunge wa viti maalumu mkoani Singida pamoja na ishu ya kutoka na boyfriend wa msanii Linah.
Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho alisema..
”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuamasisha vijana wajitokeze...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani