ALIYEMSUKUMA WEMA KUGOMBEA UBUNGE AJULIKANA
![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j1rLYzHjKSsM*bPlaLOicGfyxwiVTIsrROlT2GLDlUmZJXqy6NzPUmNvSlGrCb7D6DmuOGPqRxYBh9HsbGrGq8Y/Wema.gif?width=650)
Erick Evarist MADAM Wema Sepetu ameweka bayana kuwa mtu aliyemsukuma kujiingiza kwenye siasa ni marehemu baba yake, Abraham Sepetu.Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Wema ambaye juzi alitarajiwa kuchukua fomu ya Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, alisema marehemu baba yake alimpa wazo hilo miaka mitano iliyopita. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1I7TqR0 ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-6ByBRD_x-OU/VYEWCrdJ_2I/AAAAAAAACGs/tyI_wtmhEqQ/s72-c/1386425215.png)
WEMA SEPETU AZUNGUMZA KUHUSU KUGOMBEA UBUNGE SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6ByBRD_x-OU/VYEWCrdJ_2I/AAAAAAAACGs/tyI_wtmhEqQ/s400/1386425215.png)
Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho alisema..
”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuamasisha vijana wajitokeze...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pTGeTGakb4Q/VYCvJ1prnrI/AAAAAAADsEA/OKmORIsSMMg/s72-c/wema-in-my-shoes9.jpg)
.MSIKILIZE WEMA AKIONGELEA YEYE KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA MKOA WA SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pTGeTGakb4Q/VYCvJ1prnrI/AAAAAAADsEA/OKmORIsSMMg/s640/wema-in-my-shoes9.jpg)
MSIKILIZE WEMA AKIONGELEA YEYE KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA MKOA WA SINGIDA
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge
Mzee Majuto kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;
Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bQoS4epcJHM/VVJ_pV8hhJI/AAAAAAADmyU/N311MINyUZg/s72-c/Dismas%2Bakiteta%2Bna%2Bjambo%2Bna%2Bmkewe%2BRightness%2C%2Bnyuma%2Bni%2Bmtoto%2Bwao%2BGrace%2C%2Bpicha%2Bna%2Bmpiga%2Bpicha%2Bwetu.jpg)
DISMAS LYASSA KUGOMBEA UBUNGE
![](http://1.bp.blogspot.com/-bQoS4epcJHM/VVJ_pV8hhJI/AAAAAAADmyU/N311MINyUZg/s640/Dismas%2Bakiteta%2Bna%2Bjambo%2Bna%2Bmkewe%2BRightness%2C%2Bnyuma%2Bni%2Bmtoto%2Bwao%2BGrace%2C%2Bpicha%2Bna%2Bmpiga%2Bpicha%2Bwetu.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RIfsm0kkdX0/VVJ_pUQVP7I/AAAAAAADmyQ/7IjRLrJKqc8/s640/Dismas%2BLyassa%2Bakizungumza%2Bna%2Bbaadhi%2Bya%2Bvijana%2Bkatika%2Bkijiji%2Bcha%2BIhenga%2Bambao%2Bwamekuwa%2Bwakifanya%2Bshughuli%2Bza%2Bkuvusha%2Bwatu%2Bbaada%2Bya%2Bbarabara%2Bkujaa%2Bmaji%2C%2Bpicha%2Bya%2Bmpiga%2Bpicha%2Bwetu.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-003o467dEOM/VVJ_pS7d5aI/AAAAAAADmyM/A5riZX-egRE/s640/Kutokana%2Bna%2Bmagari%2Bkusitisha%2Bshughuli%2Bzao%2Bkutoka%2BIfakara%2Bkwenda%2Bvijijji%2Bmbalimbali%2Bvya%2BKilombero%2Bwananchi%2Bwengi%2Bwamekuwa%2Bwakitembea%2Bkwa%2Bmiguu%2Bkama%2Bhivi%2C%2Bhapa%2Bilikuwa%2Bni%2Beneo%2Bla%2BIhenga%2Blinalounganisha%2Bkata%2Bza%2BMofu%2Bna%2BIfakara.jpg)
Ndugu Wanahabari
Uchaguzi Mkuu wenye lengo la kuwapata Madiwani, Wabunge na...
10 years ago
Bongo Movies20 Jun
JB Akanusha Kugombea Ubunge Kinondoni
Staa mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amekanausha taarifa za kutaka kugombea ubunge jimbo la kinondoni ambazo zimekuwa zikienea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.
JB ameeleza kuwa japo watu mbali mbali wamekuwa wakimfuata na kumtaka agombee yeye amekuwa akiwashukuru na kuwaeleza kuwa anaipenda sana kazi yake ya uigizaji.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram aliyaeleza hayo akiwa anatolea ufafanuzi kile ‘mrekebishatabia’ alichokiandika kwenye mtandao...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZiXuwzmHKt9m*JQENispVEO92rG8FQl1VsQ2EL*ZGXEnHlsO9vVX9518llKg82iT8YF1JfORwZJgyJkSEwY0pW/Davina.jpg)
DAVINA AHAMASIKA KUGOMBEA UBUNGE
11 years ago
Habarileo18 Dec
Mrema kugombea ubunge 2015
MBUNGE wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP), amesema atagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015 katika jimbo hilo na kutoa hadhari kwa wanaolinyemelea.
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Kingwendu Kugombea Ubunge Mwaka Huu!!
Mwigizaji mkongwe wa vichekesho hapa Bongo, Rashid Mwinshehe "Kingwendu", amesema anajiandaa Kugombea Ubunge 2015 Kupitia Chama ambacho amedai Kuwa anaona Kinapendwa na Watanzania wengi bila ya Kutaja Jina la Chama hicho wala Jimbo atakalogombea.
Wataalamu wa Masuala ya Kisiasa Nchini, wameitafsiri Kauli hiyo ya Kingwendu Kwa Mitazamo tofauti, huku Wengi Kati yao Wakisema Kuwa Upinzani Una Nguvu Kubwa hivi sasa hapa Nchini, hivyo Sio ajabu Kwamba yawezekana Msanii huyu amevutiwa na Kuamua...