.MSIKILIZE WEMA AKIONGELEA YEYE KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA MKOA WA SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pTGeTGakb4Q/VYCvJ1prnrI/AAAAAAADsEA/OKmORIsSMMg/s72-c/wema-in-my-shoes9.jpg)
Wema Sepetu
MSIKILIZE WEMA AKIONGELEA YEYE KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA MKOA WA SINGIDA
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-6ByBRD_x-OU/VYEWCrdJ_2I/AAAAAAAACGs/tyI_wtmhEqQ/s72-c/1386425215.png)
WEMA SEPETU AZUNGUMZA KUHUSU KUGOMBEA UBUNGE SINGIDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6ByBRD_x-OU/VYEWCrdJ_2I/AAAAAAAACGs/tyI_wtmhEqQ/s400/1386425215.png)
Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho alisema..
”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuamasisha vijana wajitokeze...
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Safari ya Wema Sepetu imeiva, ubunge viti maalum mkoa wa Singida
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, (kushoto) akipokea fomu za kuwania ubunge viti maalum mkoa wa Singida kutoka kwa Katibu wa UWT wilaya ya Ikungi, Yagi Kiaratu.
Miss Tanzania 2006,Wema Sepetu alipokuwa akijiandaa kulipa ada ya uchukuzi wa fomu za kuwania ubunge viti maalum mkoa wa Singida leo (17/7/2015).Kulia ni katibu UWT wilaya ya Ikungi mkoani Singida.
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, akitoka ndani ya ofisi ya CCM wilaya ya Ikungi baada ya kukabidhiwa fomu za kuwania ubunge viti...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/DfH9uRjW8vE/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Afande Sele kugombea Ubunge kupitia ACT
NA SHABANI MATUTU
MWANAMUZIKI wa kizazi kipya, Suleimani Msindi ‘Afande sele’, ametangaza nia ya kuwania ubunge wa Morogoro mjini kupitia Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania).
Msanii huyo ametangaza azma yake hiyo jana mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, baada ya kujiunga na chama hicho akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
“Niliumizwa baada ya kusikia kuwa eti katiba ya chama inasema kuwa mwanachama anayekwenda mahakamani kudai haki...
11 years ago
GPLMWALIMU AJITOKEZA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA KUPITIA CHADEMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j1rLYzHjKSsM*bPlaLOicGfyxwiVTIsrROlT2GLDlUmZJXqy6NzPUmNvSlGrCb7D6DmuOGPqRxYBh9HsbGrGq8Y/Wema.gif?width=650)
ALIYEMSUKUMA WEMA KUGOMBEA UBUNGE AJULIKANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/NuhxAqRpFvpQr*AhBBntJSlAORgZzhlqjSHK-oSM*xWlSQ9I8U9tRKNIfVwbRBish8r4FwVeKxSiju8lgUy2lkSxO*lPDQ3k/muumini1.jpg?width=492)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sAPfCOA-sSQ/Vb3akCLf6rI/AAAAAAABTBc/E7E1-WwC2Ks/s72-c/Chama%2BCha%2BMapinduzi%2528CCM%2529.jpg)
KATIKA MAJIMBO 28 HAWA NDIO WALIOPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-sAPfCOA-sSQ/Vb3akCLf6rI/AAAAAAABTBc/E7E1-WwC2Ks/s640/Chama%2BCha%2BMapinduzi%2528CCM%2529.jpg)
KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba2. Nape - Mtama3. Mwakasaka - Tabora Mjini4. Mama Sitta - Urambo5. Kadutu - Ulyankulu6. Bashe - Nzega7. Ngeleja - Sengerema8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.9. Masaburi - Ubungo10. Patel - Ukonga11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi12. Kagasheki - 13. Lukuvi - Isimani14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini16. Ndugai - Kongwa17. Chumi - Mafinga18. Kigola - Mufindi kusini19. Mgimwa - Mufindi kaskazini20. Filikunjombe - Ludewa21. Mgimwa - Kalenga...22....
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Nyalandu achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu akichukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi CCM kwa MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA SINGIDA KASKAZINI, Mkurugenzi Mtendaji HAJJAT MWASUMILWE.
Nyalandu akihutubia wananchi Kinyagigi.
Lazaro Nyalandu akiwa Kinyagigi.
Wananchi wa kijiji cha Kinyagigi wakimpokea Nyalandu.