JB Akanusha Kugombea Ubunge Kinondoni
Staa mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amekanausha taarifa za kutaka kugombea ubunge jimbo la kinondoni ambazo zimekuwa zikienea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.
JB ameeleza kuwa japo watu mbali mbali wamekuwa wakimfuata na kumtaka agombee yeye amekuwa akiwashukuru na kuwaeleza kuwa anaipenda sana kazi yake ya uigizaji.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram aliyaeleza hayo akiwa anatolea ufafanuzi kile ‘mrekebishatabia’ alichokiandika kwenye mtandao...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziQS Muhonda arudisha Fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni
QS amesema kuwa ameamua kuchukua fomu na kugombea nafasi hiyo ili kuleta maendeleo ya jimbo hilo na pia anauwezo na ufanisi mkubwa wa kuleta maendeleo katika jimbo hilo la Kinondoni, Lakini pia una ushawishi mkubwa kwa vijana ambao ni taifa la leo kuwafanya kuwa nguvu kazi ya Taifa hususan vijana wengi wa kinondoni ambao hawana ajira...
10 years ago
Bongo515 Aug
Steve Nyerere kugombea ubunge jimbo la Kinondoni mwaka 2015
10 years ago
Michuzi18 Jul
Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo
10 years ago
MichuziMWANASHERIA MAKENE AREJESHA FOMU KUGOMBEA JIMBO LA KINONDONI
11 years ago
Habarileo18 Dec
Mrema kugombea ubunge 2015
MBUNGE wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP), amesema atagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015 katika jimbo hilo na kutoa hadhari kwa wanaolinyemelea.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZiXuwzmHKt9m*JQENispVEO92rG8FQl1VsQ2EL*ZGXEnHlsO9vVX9518llKg82iT8YF1JfORwZJgyJkSEwY0pW/Davina.jpg)
DAVINA AHAMASIKA KUGOMBEA UBUNGE
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bQoS4epcJHM/VVJ_pV8hhJI/AAAAAAADmyU/N311MINyUZg/s72-c/Dismas%2Bakiteta%2Bna%2Bjambo%2Bna%2Bmkewe%2BRightness%2C%2Bnyuma%2Bni%2Bmtoto%2Bwao%2BGrace%2C%2Bpicha%2Bna%2Bmpiga%2Bpicha%2Bwetu.jpg)
DISMAS LYASSA KUGOMBEA UBUNGE
![](http://1.bp.blogspot.com/-bQoS4epcJHM/VVJ_pV8hhJI/AAAAAAADmyU/N311MINyUZg/s640/Dismas%2Bakiteta%2Bna%2Bjambo%2Bna%2Bmkewe%2BRightness%2C%2Bnyuma%2Bni%2Bmtoto%2Bwao%2BGrace%2C%2Bpicha%2Bna%2Bmpiga%2Bpicha%2Bwetu.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RIfsm0kkdX0/VVJ_pUQVP7I/AAAAAAADmyQ/7IjRLrJKqc8/s640/Dismas%2BLyassa%2Bakizungumza%2Bna%2Bbaadhi%2Bya%2Bvijana%2Bkatika%2Bkijiji%2Bcha%2BIhenga%2Bambao%2Bwamekuwa%2Bwakifanya%2Bshughuli%2Bza%2Bkuvusha%2Bwatu%2Bbaada%2Bya%2Bbarabara%2Bkujaa%2Bmaji%2C%2Bpicha%2Bya%2Bmpiga%2Bpicha%2Bwetu.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-003o467dEOM/VVJ_pS7d5aI/AAAAAAADmyM/A5riZX-egRE/s640/Kutokana%2Bna%2Bmagari%2Bkusitisha%2Bshughuli%2Bzao%2Bkutoka%2BIfakara%2Bkwenda%2Bvijijji%2Bmbalimbali%2Bvya%2BKilombero%2Bwananchi%2Bwengi%2Bwamekuwa%2Bwakitembea%2Bkwa%2Bmiguu%2Bkama%2Bhivi%2C%2Bhapa%2Bilikuwa%2Bni%2Beneo%2Bla%2BIhenga%2Blinalounganisha%2Bkata%2Bza%2BMofu%2Bna%2BIfakara.jpg)
Ndugu Wanahabari
Uchaguzi Mkuu wenye lengo la kuwapata Madiwani, Wabunge na...
9 years ago
Habarileo04 Sep
Kalapina kuwania ubunge Kinondoni
MWANAMUZIKI wa Hip Hop, Kalama Masoud ‘Kalapina’ aliyekuwa amewekewa pingamizi ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kinondoni, ameshinda rufani yake katika Tume ya Uchaguzi na kwa sasa ni mgombea rasmi wa jimbo hilo.