DISMAS LYASSA KUGOMBEA UBUNGE
![](http://1.bp.blogspot.com/-bQoS4epcJHM/VVJ_pV8hhJI/AAAAAAADmyU/N311MINyUZg/s72-c/Dismas%2Bakiteta%2Bna%2Bjambo%2Bna%2Bmkewe%2BRightness%2C%2Bnyuma%2Bni%2Bmtoto%2Bwao%2BGrace%2C%2Bpicha%2Bna%2Bmpiga%2Bpicha%2Bwetu.jpg)
Dismas akiteta na jambo na mkewe Rightness, nyuma ni mtoto wao Grace,
Dismas Lyassa akizungumza na baadhi ya vijana katika kijiji cha Ihenga ambao wamekua wakifanya shughli za kuvusha watu baada ya barabara kujaa maji,
Kutokana na magari kusitisha shughuli zao kutoka Ifakara kwenda Kilomberoa Wananchi wengi wamekua wakitembea kwa miguu kama hivi hapa ilikua ni eneo la Ihenga linalounganisha kata za Mofu na Ifakara
Ndugu Wanahabari
Uchaguzi Mkuu wenye lengo la kuwapata Madiwani, Wabunge na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Dismas Lyassa arejesha fomu ya kugombea Urais TUCTA
Mhariri wa masuala ya Biashara wa gazeti la Mwananchi na Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano na Uchukuzi Tanzania (COTWU-T) Tawi la Mwananchi Communications Limited, Dismas Lyassa (kulia) akirudisha fomu ya kugombea Urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) kwa Katibu Mkuu wa COTWU Kanda ya Dar es Salaam, Musa Mwakalinga. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Agosti 4-5, mwaka huu mkoani Dodoma. (Picha na Khamis Tembo).
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0hOSx4B-PvI/U7vNwWbKVBI/AAAAAAAFx0o/ts0Axwats_8/s72-c/unnamed.jpg)
Mpiganaji Dismas Lyassa kuwania Urais COTWU kanda ya Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-0hOSx4B-PvI/U7vNwWbKVBI/AAAAAAAFx0o/ts0Axwats_8/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZiXuwzmHKt9m*JQENispVEO92rG8FQl1VsQ2EL*ZGXEnHlsO9vVX9518llKg82iT8YF1JfORwZJgyJkSEwY0pW/Davina.jpg)
DAVINA AHAMASIKA KUGOMBEA UBUNGE
11 years ago
Habarileo18 Dec
Mrema kugombea ubunge 2015
MBUNGE wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP), amesema atagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao mwaka 2015 katika jimbo hilo na kutoa hadhari kwa wanaolinyemelea.
10 years ago
Bongo Movies20 Jun
JB Akanusha Kugombea Ubunge Kinondoni
Staa mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amekanausha taarifa za kutaka kugombea ubunge jimbo la kinondoni ambazo zimekuwa zikienea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii.
JB ameeleza kuwa japo watu mbali mbali wamekuwa wakimfuata na kumtaka agombee yeye amekuwa akiwashukuru na kuwaeleza kuwa anaipenda sana kazi yake ya uigizaji.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram aliyaeleza hayo akiwa anatolea ufafanuzi kile ‘mrekebishatabia’ alichokiandika kwenye mtandao...
10 years ago
Bongo Movies27 Jun
Steve Nyerere: Sijakurupuka Kugombea Ubunge
Staa wa Bongo Movies na aliyekuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Unit, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ ambaye wiki iliyopita alitangaza niua yake ya kugombe ubunge mwaka huu wa uchaguzi amedai kua hajakurupuka kuutaka ubunge kupitia jimbo la Kinondoni na kuwa ataendeleza sanaa hata akiwa mbunge.
Akizungumza na millardayo.com alisema..’Kwanza ninataka kuwahakikishia watanzania sijakurupuka, nimekuwa mwanachama wa chama cha Mapinduzi umoja wa vijana almost miaka 25 na sasa hivi nina miaka 29...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-osE7-OsI8EM/VaVS5OSYabI/AAAAAAAHpqY/b0-sYNUfzF4/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Mpiganaji Kakore kugombea Ubunge Same Magharibi
![](http://4.bp.blogspot.com/-osE7-OsI8EM/VaVS5OSYabI/AAAAAAAHpqY/b0-sYNUfzF4/s320/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Kingwendu Kugombea Ubunge Mwaka Huu!!
Mwigizaji mkongwe wa vichekesho hapa Bongo, Rashid Mwinshehe "Kingwendu", amesema anajiandaa Kugombea Ubunge 2015 Kupitia Chama ambacho amedai Kuwa anaona Kinapendwa na Watanzania wengi bila ya Kutaja Jina la Chama hicho wala Jimbo atakalogombea.
Wataalamu wa Masuala ya Kisiasa Nchini, wameitafsiri Kauli hiyo ya Kingwendu Kwa Mitazamo tofauti, huku Wengi Kati yao Wakisema Kuwa Upinzani Una Nguvu Kubwa hivi sasa hapa Nchini, hivyo Sio ajabu Kwamba yawezekana Msanii huyu amevutiwa na Kuamua...