Kalapina kuwania ubunge Kinondoni
MWANAMUZIKI wa Hip Hop, Kalama Masoud ‘Kalapina’ aliyekuwa amewekewa pingamizi ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kinondoni, ameshinda rufani yake katika Tume ya Uchaguzi na kwa sasa ni mgombea rasmi wa jimbo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, KARAMA MASUDI "KALAPINA" AZINDUA KAMPENI ZAKE
10 years ago
VijimamboMAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI
Makene...
10 years ago
MichuziWAKILI EMMANUEL TAMILA MAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI
Makene...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/qgFpUKLuwVs/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e__cDQ2OYMs/VadpA1cl39I/AAAAAAAHqCo/JW6LKMfwuIk/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
IDD AZAN na Jumaa Mhina 'Pijei' wachukua fomu kuwania ubunge Jimbo la Kinondoni na Kawe
![](http://1.bp.blogspot.com/-e__cDQ2OYMs/VadpA1cl39I/AAAAAAAHqCo/JW6LKMfwuIk/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IHXpBFgfMiQ/VadpBfaUzfI/AAAAAAAHqCw/Tca_fYKf7pQ/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Kalapina: Mwanahiphop, bondia anayeota ubunge Jimbo la Kigamboni
>Mwaka umeanza, kila mtu anapanga mikakati yake kuelekea 2015. Lakini kwa mwanamuziki wa Hiphop Karama Masoud maarufu Kalapina amemaliza mwaka 2013 kwa mbwembwe nyingi, akipanga mwaka 2014 kuumaliza akiwa ameshapanda ulingoni kupambana na bingwa wa ngumi za kulipwa za uzito wa juu nchini Alfonce Mchumiatumbo.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
KARAMA MASOUD ‘KALAPINA’: Mwanamuziki, mwanamasumbwi anayeuwazia ubunge 2015
MALENGO ya kufanya kitu katika moyo wa mtu yanakuja pale ambapo anatamani kuwa mtu fulani katika jamii inayomzunguka. Baadhi ya wasanii wamekuwa wakianika mipango na mikakati yao katika kazi zao...
9 years ago
VijimamboKALAPINA WA KIKOSI CHA MIZINGA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KINONDONI KWA TIKETI ACT WAZALENDO
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Apr
Atangaza kuwania ubunge Arumeru
NA SHAABAN MDOE, ARUMERU
JOTO la ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki limezidi kupanda baada ya kada wa CCM wilayani humo, Elirehema Kaaya, kutangaza kuwania kiti cha ubunge katika uchaguzi wa mwaka huu.
Kaaya ambaye aliwahi kugombea nafasi hiyo mwaka 2005 na 2010, alisema juzi, kuwa hajakata tamaa kwa kuwa anaamini amejipanga kikamilifu.
Mtangaza nia huyo ambaye kwa sasa ni Ofisa Uhusiano wa Jiji la Mwanza, alisema kilichomsukuma kuwania ubunge ni pamoja na kusukumwa na dhamira ya kutatua...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania