KARAMA MASOUD ‘KALAPINA’: Mwanamuziki, mwanamasumbwi anayeuwazia ubunge 2015
MALENGO ya kufanya kitu katika moyo wa mtu yanakuja pale ambapo anatamani kuwa mtu fulani katika jamii inayomzunguka. Baadhi ya wasanii wamekuwa wakianika mipango na mikakati yao katika kazi zao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, KARAMA MASUDI "KALAPINA" AZINDUA KAMPENI ZAKE
9 years ago
Habarileo04 Sep
Kalapina kuwania ubunge Kinondoni
MWANAMUZIKI wa Hip Hop, Kalama Masoud ‘Kalapina’ aliyekuwa amewekewa pingamizi ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kinondoni, ameshinda rufani yake katika Tume ya Uchaguzi na kwa sasa ni mgombea rasmi wa jimbo hilo.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Kalapina: Mwanahiphop, bondia anayeota ubunge Jimbo la Kigamboni
>Mwaka umeanza, kila mtu anapanga mikakati yake kuelekea 2015. Lakini kwa mwanamuziki wa Hiphop Karama Masoud maarufu Kalapina amemaliza mwaka 2013 kwa mbwembwe nyingi, akipanga mwaka 2014 kuumaliza akiwa ameshapanda ulingoni kupambana na bingwa wa ngumi za kulipwa za uzito wa juu nchini Alfonce Mchumiatumbo.
11 years ago
Michuzi07 Feb
club rahaleo show ndani ya mtandao kupitia TBC 1 chini ya manju wa muziki nchini Masoud Masoud mariam wa migomba
Kwa video hii na zingine kibao nenda youtube
kisha search 'Club Rahaleo show'
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/zmusQK0twSI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HDkn55qD6ZQ/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/zmusQK0twSI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ECLs7OI8tXM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-KAaeJqxI9FI/VQwKjMDcf7I/AAAAAAADc-4/GLZXbknYyBI/s72-c/10420753_977426482270152_2547371441185914273_n.jpg)
MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO JUMAMOSI 21 MARCH 2015
KIONGOZI WA EXTRA BONGO BAND ALLY CHOKI KULITINGISHA JIJI LA TOKYO!WHITE PARTY
APEWA MAPOKEZI MAZURI NA KUPANDA JUKWAANI NA WAKONGWEFRESH JUMBE NA ABBU OMARY
Ukumbi: Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City
Tokyo,Japan.
Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi 21.Machi 2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super...
APEWA MAPOKEZI MAZURI NA KUPANDA JUKWAANI NA WAKONGWEFRESH JUMBE NA ABBU OMARY
Ukumbi: Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City
![](http://3.bp.blogspot.com/-KAaeJqxI9FI/VQwKjMDcf7I/AAAAAAADc-4/GLZXbknYyBI/s1600/10420753_977426482270152_2547371441185914273_n.jpg)
Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi 21.Machi 2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania