KALAPINA WA KIKOSI CHA MIZINGA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KINONDONI KWA TIKETI ACT WAZALENDO
Msanii wa muziki wa Rap toka Kikosi cha Mizinga, Karama Masoud aka Kalapina (kushoto) akipokea fomu za kugombea udiwani kata ya Kinondoni kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo toka kwa msimamizi msaidizi wa uchaguzi Bibi Ikunda Lyimo siku ya Ijumaa jioni. Kala Pina aligombea udiwani kwa tiketi ya chama cha CUF katika uchaguzi wa mwaka 2010 ambapo alishindwa na mgombea wa CCM.
Hapa akiwasili katika ofisi za mtendaji wa kata ya Kinondoni katika usafiri wa pikpiki.
Akiwa ameambatana na wapambe...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6y-nUtrXjZU/VbYnRurWW2I/AAAAAAAB3OM/6irpn0n8ztI/s72-c/hamad.jpg)
Mhe Hamad Rashid Zanzibar achukua Fomu ya Kugombea Urais kwa tiketi ya Chama cha ADC.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6y-nUtrXjZU/VbYnRurWW2I/AAAAAAAB3OM/6irpn0n8ztI/s640/hamad.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UwbLz8mTeYM/VbYnVc5xQ8I/AAAAAAAB3OU/NIk452ktgik/s640/hamad%2B2.jpg)
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, KARAMA MASUDI "KALAPINA" AZINDUA KAMPENI ZAKE
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s72-c/1.jpg)
Saidi Fella Achukua Fomu ya kugombea Udiwani Kilungule.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s640/1.jpg)
Saidi Fella ameamua kuchukua fomu hiyo na kugomea nafasi hiyo ili aweze kutatua kero za wakazi wa kata ya Kilungule na kuleta maendeleo katika Kata hiyo.
"Nimeamua kuchukua nafasi hii ili kutatua kero...
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Mwanahabari achukua fomu za udiwani kata ya Kipawa jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-B7lCZ6kOQOU/VanUZ3V4JbI/AAAAAAAAhmA/2lJGZ4ywarg/s640/IMG-20150717-WA026.jpg)
Kada wa Chama cha Mapinduzi, Emmanuel Barnabas Maro, anayewania kuteuliwa na chama chake kugombea nafasi ya udiwani katika kata ya Kipawa wilayani Ilala jijini Dar es Salaam akionyesha fomu alizokabidhiwa na Katibu kata ya Kipawa Amina Sebo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-id2G-fMidQI/VajzroBrCuI/AAAAAAAC8nI/ddnrgT2oKog/s72-c/AhvrYpx5P1avaPf84t5ra_mRoZgla-RVr0anvV-PV5ZR%2B%25281%2529.jpg)
MDAU EMMA BARNABAS ACHUKUA FOMU KUWANIA UDIWANI KATA YA KIPAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-id2G-fMidQI/VajzroBrCuI/AAAAAAAC8nI/ddnrgT2oKog/s640/AhvrYpx5P1avaPf84t5ra_mRoZgla-RVr0anvV-PV5ZR%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q3yrwKsL4ZI/XkvtKHxvXtI/AAAAAAALd8Y/E-18OpAUTvkp-eRz9yfPRPEKSMiJqr4lgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screen-Shot-2020-02-18-at-4.16.39-AM-660x400.png)
ZITTO ACHUKUA FOMU KUWANIA NAFASI YA UONGOZI ACT WAZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-q3yrwKsL4ZI/XkvtKHxvXtI/AAAAAAALd8Y/E-18OpAUTvkp-eRz9yfPRPEKSMiJqr4lgCLcBGAsYHQ/s640/Screen-Shot-2020-02-18-at-4.16.39-AM-660x400.png)
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mara baada ya kuchukua fomu hiyo muda mfupi baada ya kutoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi inayomkabili ambapo katika shauri hilo la uchochezi...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s72-c/cuf%2B1.jpg)
WAGOMBEA UWAKILISHI NA UDIWANI KWA TIKETI YA CHAMA CHA CUF WAFIKA OFISI ZA ZEC KUCHUKUA FOMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-YJEGf1bioEQ/VdjJs7hxIGI/AAAAAAAB55E/DcpO6_hIYxg/s640/cuf%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u4ooQdXeNNc/VdjJtviPjSI/AAAAAAAB56Q/e9eCuM9tTXE/s640/cuf%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NMMP4Cjq7fY/VdjJtw-0NoI/AAAAAAAB55Q/l7_mE7nm79I/s640/cuf%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_YfvF9wQcdk/VdjJuU-wb0I/AAAAAAAB55U/YjQlpS39t-o/s640/cuf%2B4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XlTdPR1mbEc/VdjJvBl7nSI/AAAAAAAB55Y/2gnBrRC4KgU/s640/cuf%2B5.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Jul
Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo