Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo
Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.
Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Nyalandu achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu akichukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi CCM kwa MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA SINGIDA KASKAZINI, Mkurugenzi Mtendaji HAJJAT MWASUMILWE.
Nyalandu akihutubia wananchi Kinyagigi.
Lazaro Nyalandu akiwa Kinyagigi.
Wananchi wa kijiji cha Kinyagigi wakimpokea Nyalandu.
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Frederick Fussi atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Songea Mjini kwa tiketi ya Chadema
Mgombea ubunge jimbo la Songea mjini kwa tiketi ya Chama cha Maendeleo (CHADEMA), Frederick Fussi akisisitiza jambo katika mkutano wake na waandishi habari.
OFISA Mshauri wa masuala ya Uchumi, Biashara na Uongozi Frederick Fussi ambaye pia ni kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Songea Mjini kupitia Chama hicho huku akielezea vipao mbele ambavyo atavitekeleza endapo akipewa ridha kutoka kwa wananchi.
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mgana Izumbe Msindai, atangaza nia kuwania ubunge jimbo la Mkalama
Mwenyekiti CCM mkoa wa Singida, Mgana Izumbe Msindai, akitangaza ni ya kugombea ubunge jimbo la Mkalama mkoa wa Singida kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kata ya Ibaga.
Sheikh wa mskiti wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama, Seleman Tumai, akitoa kero ya uhaba mkubwa wa maji safi unaosababisha wachangie maji na mifugo na wanayapori kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya Mgana Msindai kutangaza nia ya kugombea ubunge Mkalama.
Mkazi wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama,...
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Wandili wa SEMA ajitosa kuwania ubunge jimbo la Singida mjini kwa tiketi ya ACT
Mfanyakazi wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Jeremiah Paul Wandili, (katikati) akitangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya ACT Wazalendo. Kulia ni Mwakilishi wa mwenyekiti wa ACT Wazalendo mkoa wa Singida, Peter Mkenyi na kushoto ni Mratibu wa harakati za Wandili za kugombea jimbo Peter Lisu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
KIJANA mfanyakazi wa Shirika lisilo la kiserikali la SEMA Singida Mjini, Jeremiah Paul Wandili...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMSYNYpBcA0/VdLBLNPbdNI/AAAAAAAB5J0/5oOZHFufQ48/s72-c/11855626_163475883983386_5071235010551803117_n.jpg)
Saada Mkuya achukua fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la Welezo
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMSYNYpBcA0/VdLBLNPbdNI/AAAAAAAB5J0/5oOZHFufQ48/s640/11855626_163475883983386_5071235010551803117_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XdtMlpM2VU0/VdLBLMvGlwI/AAAAAAAB5J4/41vRMOXnpq0/s640/11863497_171157699881871_1940997383930891996_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hbYWSrMf8ro/VdLBLYSbGPI/AAAAAAAB5KQ/helcsR6eSyI/s640/11870944_171157679881873_3008769847260815270_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-q2q-J-fUF9Q/VdLBMLW77mI/AAAAAAAB5KA/xmMzyRdXjSo/s640/11880555_171157693215205_5254557743562192756_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOKRkZMHWUE/VdLBMbv3DWI/AAAAAAAB5KE/68n0omMlcpk/s640/11896219_171157696548538_4599662945498583312_n.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7PE_Ko3t6Mc/VdXAzC-mITI/AAAAAAAC9yE/AfUNndOQEdM/s72-c/1.jpg)
Anthony Mavunde achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Dodoma jijini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7PE_Ko3t6Mc/VdXAzC-mITI/AAAAAAAC9yE/AfUNndOQEdM/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XQbftpJGg-Y/VdXAx0XleMI/AAAAAAAC9x8/6FjjdIJjSwA/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecmLwilRBZ8/VdXAy27Jp5I/AAAAAAAC9yU/wyLj3RTXEoo/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QUpkCNTreoU/VdXAzIqvCLI/AAAAAAAC9yI/3d3aR1e6k4Q/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
VijimamboKAMANDA JOHN BUYAMBA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA.
Na:George GB PazzoMakada mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoani Mwanza, wameendelea kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho ili kugombea nafasi za uongozi kwa ngazi za Udiwani na Ubunge.
Zaidi ya Makada sita wa chama hicho tayari wamejitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Ilemela,...
10 years ago
Michuzi18 Jul
Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo