Saada Mkuya achukua fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la Welezo
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZMSYNYpBcA0/VdLBLNPbdNI/AAAAAAAB5J0/5oOZHFufQ48/s72-c/11855626_163475883983386_5071235010551803117_n.jpg)
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alipowasili Ofisi za tume ya uchafguzi kwa ajili ya kuchukua fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la QWelezo na kuiahidi kuleta maendeleo katika jimbo hilo la WELEZO.
Waziri wa Fedha , Saada mkuya akitia saini wakati wa kukabidhiwa fomu za kugombea Ubunge jimbo jipya la Welezo
Afisa wa Uchaguzi akitoa maelezo kumpatia Waziri Saada Mkuya ya namna ya ujazaji wa fomu za kuwania Ubuinge
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Nyalandu achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu akichukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi CCM kwa MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA SINGIDA KASKAZINI, Mkurugenzi Mtendaji HAJJAT MWASUMILWE.
Nyalandu akihutubia wananchi Kinyagigi.
Lazaro Nyalandu akiwa Kinyagigi.
Wananchi wa kijiji cha Kinyagigi wakimpokea Nyalandu.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7PE_Ko3t6Mc/VdXAzC-mITI/AAAAAAAC9yE/AfUNndOQEdM/s72-c/1.jpg)
Anthony Mavunde achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Dodoma jijini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7PE_Ko3t6Mc/VdXAzC-mITI/AAAAAAAC9yE/AfUNndOQEdM/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XQbftpJGg-Y/VdXAx0XleMI/AAAAAAAC9x8/6FjjdIJjSwA/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecmLwilRBZ8/VdXAy27Jp5I/AAAAAAAC9yU/wyLj3RTXEoo/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QUpkCNTreoU/VdXAzIqvCLI/AAAAAAAC9yI/3d3aR1e6k4Q/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Jul
Steven Nyerere achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kinondoni na kurudisha leo
10 years ago
VijimamboKAMANDA JOHN BUYAMBA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA.
Na:George GB PazzoMakada mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoani Mwanza, wameendelea kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho ili kugombea nafasi za uongozi kwa ngazi za Udiwani na Ubunge.
Zaidi ya Makada sita wa chama hicho tayari wamejitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Ilemela,...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LRygVDv2v1k/VbshlAfA8GI/AAAAAAAC9HQ/q5WA-2_UKC4/s72-c/20150731001752%2B%25281%2529.jpg)
MHE.DAVID KAFULILA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE TENA KATIKA JIMBO LA KIGOMA KASINI KUPITIA CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LRygVDv2v1k/VbshlAfA8GI/AAAAAAAC9HQ/q5WA-2_UKC4/s640/20150731001752%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1EbRIC714rs/VbshkxylXSI/AAAAAAAC9HY/aRKslwIemZk/s640/20150731001752.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CDOdbBx4crA/VbshlrvvdJI/AAAAAAAC9HU/QQsvFOWIFjI/s640/20150731001754.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhcWFlabuSI/Vbshmm347FI/AAAAAAAC9Hc/XIiioSl_OPw/s640/20150731001757.jpg)
9 years ago
Michuzi14 Aug
MREMA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE
![IMAG0392 (3)](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/2qJk_vB3GsnOB4muUi4VB81yJHlVEhwWoNporLUWwmpLMZiCoQ_dxJZbMqhtRXMBNNWKjWXP_El2GrnwMQ36mWz-8qA-16wvq3JadEiWGtGzVACjB8TNjbFN-g=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/imag0392-3.jpg?w=660)
……………………………………………………………………………….. MGOMBEA ubunge jimbo la Vunjo na mwenyekiti wa chama cha TLP ,Agustino Lyatonga Mrema ametamba kuwa jimbo hilo ni mali yake na hayuko tayari kuona likichukuliwa na manyang’au aliodai wa Ukawa. Mrema alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Th3OZYT9rWE/VWDFwQ_66WI/AAAAAAAABqc/TrQnJFr3wmI/s72-c/Zitto--30march2015.jpg)
ZITTO KABWE ACHUKUA RASMI FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-Th3OZYT9rWE/VWDFwQ_66WI/AAAAAAAABqc/TrQnJFr3wmI/s400/Zitto--30march2015.jpg)
Safari ya mbunge wa zamani wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chadema, Zitto Kabwe kurejea bungeni imeanza rasmi baada ya kiongozi huyo wa chama kipya cha ACT-Wazalendo kuchukua fomu za kuwania kuongoza jimbo la Kigoma Mjini.
Uamuzi huo wa kulitaka jimbo hilo unathibitisha kauli zake ambazo amekuwa akizitoa kwa muda mrefu kuwa hatarudi tena Kigoma Kaskazini kwa kuwa alishawatimizia kila kitu na haoni sababu za kuwawakilisha tena wananchi wa eneo hilo.
Kauli yake iliibua ubashiri kuwa Zitto...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2u2T_mkl9qY/VapBSoHOlPI/AAAAAAADyaA/JDVUyQz-dJg/s72-c/Daudi%2BMrindoko%2Bakikabidhiwa%2Bfomu%2Bya%2Bkugombea%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini.jpg)
KIJANA DAUDI MRINDOKO ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2u2T_mkl9qY/VapBSoHOlPI/AAAAAAADyaA/JDVUyQz-dJg/s640/Daudi%2BMrindoko%2Bakikabidhiwa%2Bfomu%2Bya%2Bkugombea%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zf8j7NUed-k/VapBSzABQ4I/AAAAAAADyaE/UUgguVxABc8/s640/Daudi%2BMrindoko%2Bakiwa%2Bna%2Bfomu%2Bya%2Bkugombea%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini.jpg)