Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJANA DAUDI MRINDOKO ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI

Kijana Daudi Mrindoko aliyekuwa anashawishiwa na wakazi wa jimbo la Moshi mjini kugombea ubunge wa jimbo hilo.,Siku ya ijumaa 17 Julai 2015 mshawishiwa huyo Daudi Mrindoko alifika ofisi ya CCM wilaya Moshi Mjini na kukabidhiwa fomu ya kugombea Ubunge kupitia ticketi ya CCM.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KIJANA DAUDI BABU MRINDOKO ARUDISHA FOMU ZA UBUNGE MOSHI MJINI

Kijana Daudi Babu Mrindoko aliyeshawishiwa kugombea ubunge na wakazi wa Moshi Mjini,merudisha Fomu Leo tarehe 18/07/2015 saa 10:00 jioni na kupokelewa na Katibu wa Chama CCM Wilaya ya Moshi mjini -Ndugu.Loth Ole-Nesele. Wananchi wa jimbo la Moshi mjini mkoani Kilimanjaro mwanzoni mwa mwaka 2015 walianza kumshawishi kijana Daudi Babu Mrindoko kuchukua fomu za kugombea ubunge wa jimbo la Moshi-Mjini,Wananchi jimboni Moshi-Mjini wanaamini kabisa kuwa pendekezo lao la mgombea Daudi Mrindoko...

 

10 years ago

GPL

DAUDI MRINDOKO KASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA WANANCHI WA JIMBO LA MOSHI MJINI KUGOMBEA UBUNGE 2015

DAUDI BABU MRINDOKO Yafuatayo ndio maelezo yake haya: "Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa ,Baba zangu na mama zangu na wanadau wote wanaoishi Moshi na wenyeji wa Moshi walio ndani na nje ya Moshi. Mimi mtoto wenu,mdogo wenu na  Kijana wenu DAUDI BABU MRINDOKO Nina heshima kubwa na unyeyekevu kwenu ,Pia nawashukuruni sana kwa...

 

10 years ago

Michuzi

DAUDI MRINDOKO ASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA WANANCHI WA JIMBO LA MOSHI MJINI KUGOMBEA UBUNGE 2015

Yafuatayo ndio maelezo yake haya:
"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai...
"Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa, Baba zangu na mama zangu na wanadau wote wanaoishi Moshi na wenyeji wa Moshi walio ndani na nje ya Moshi. Mimi mtoto wenu,mdogo wenu na  Kijana wenu.  DAUDI BABU MRINDOKO
"Nina heshima kubwa na unyeyekevu kwenu ,Pia nawashukuruni sana kwa kunishawishi niweze kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge wa jimbola Moshi...

 

10 years ago

Vijimambo

WANANCHI WA MOSHI MJINI WAMSHAWISHI KIJANA DAUD MRINDOKO KUGOMBEA UBUNGE 2015

Kijana Daud Mrindoko anayeshawishiwa Moshi mjini agombee ubunge.Mamia ya wakazi wa Moshi mjini wamefunguka na kumshinikiza kwa kumshawishi kijana moja ajulukanae kwa jina la Daudi Mwidadi Mrindoko achukue fomu za kugombe ubunge wa jimbo hilo la Moshi mjini,mamia na kinamama na kina baba,vijana na wazee wa mji wa Moshi wanamtaja kijana Daudi Mrindoko kuwa ndio tochi na dira ya itakayo waonyesha njia ya mafanikio zaidi 2015 alisemamama moja Merry Kimaro kutoka kundi la wafanyibiashara...

 

10 years ago

Vijimambo

SHULE ZA MOSHI MJINI MJADALA WA KUKUZA NA KUDUMISHA KISWAHILI NA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU, MGENI RASMI KIJANA DAUDI MRINDOKO

Mjadala kubwa wa kukuza na kudumisha lugha ya Kiswahili ulitawala katika Debate iliyofanyika mjini Moshi,mdahalo huo uliudhuriwa na walimu pamoja na wanafunzi kutoka shule za Secondary...Korongoni Secondary / Regnal Mengi Secondary / Bendel secondary / Mother Theresa Secondary na zinginezo katika mdahalo huo mgeni rasmi alikuwa Kijana Daudi Babu Mrindoko mwenyekiti wa tahasisi ya Wazalendo Tanzania pia mjumbe wa Uvccm mkoa kilimanjaro.Wanafunzi wa shule hizo wamedhamiria kukikuza,kukidumisha...

 

10 years ago

Vijimambo

MBIO ZA UBUNGE MOSHI MJINI,KWA NINI ? KIJANA DAUD MRINDOKO VUTIO LA WENGI !

Katika mbio za kuelekea uchaguzi mkuu 2015, katika jimbo la Moshi mjini mkoani Kilimanjaro jina la kijana Daudi Babu Mrindoko (30) aka Obama wa moshi limekuwa kivutio na gemeo la wapiga kura jimboni humo,tena kivutio na gemeo la wapiga kura wote kuanzia wazee na vijana,wanawake na wanaume kuanzia chama chake cha CCM hadi vyama vingine ! jina Daudi Mrindoko ndio gumzo la wakazi wa Moshi Mjini kuelekea uchaguzi mkuu 2015 kuwa wakazi hao wamesikika na kufunguka kwa uwazi kuwa watampigia kura...

 

10 years ago

Vijimambo

DAUDI MRINDOKO KASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA KUGOMBEA UBUNGE 2015

Yafuatayo ndio maelezo yake haya:

"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai

Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa ,Baba zangu na mama zangu na wanadau wote wanaoishi Moshi na wenyeji wa Moshi walio ndani na nje ya Moshi.

Mimi mtoto wenu,mdogo wenu na Kijana wenu DAUDI BABU MRINDOKO

Nina heshima kubwa na unyeyekevu kwenu ,Pia nawashukuruni sana kwa kunishawishi niweze kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo
la Moshi Mjini...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WAMSHAWISHI KIJANA DAUD MRINDOKO KUGOMBEA UBUNGE

Kijana Daud Mrindoko anayeshawishiwa Moshi mjini agombee ubunge.
Mamia ya wakazi wa Moshi mjini wamefunguka na kumshinikiza kwa kumshawishi kijana moja ajulukanae kwa jina la Daudi Mwidadi Mrindoko achukue fomu za kugombe ubunge wa jimbo hilo la Moshi mjini,mamia na kinamama na kina baba,vijana na wazee wa mji wa Moshi wanamtaja kijana Daudi Mrindoko kuwa ndio tochi na dira ya itakayo waonyesha njia ya mafanikio zaidi 2015 alisemamama moja Merry Kimaro kutoka kundi la wafanyibiashara...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA

IMG-20150821-WA0001

Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani