MBIO ZA UBUNGE MOSHI MJINI,KWA NINI ? KIJANA DAUD MRINDOKO VUTIO LA WENGI !
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oj5rFamCSQI/VX7MdTWPGdI/AAAAAAADr7k/GNrtUlmwMSQ/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
Katika mbio za kuelekea uchaguzi mkuu 2015, katika jimbo la Moshi mjini mkoani Kilimanjaro jina la kijana Daudi Babu Mrindoko (30) aka Obama wa moshi limekuwa kivutio na gemeo la wapiga kura jimboni humo,tena kivutio na gemeo la wapiga kura wote kuanzia wazee na vijana,wanawake na wanaume kuanzia chama chake cha CCM hadi vyama vingine ! jina Daudi Mrindoko ndio gumzo la wakazi wa Moshi Mjini kuelekea uchaguzi mkuu 2015 kuwa wakazi hao wamesikika na kufunguka kwa uwazi kuwa watampigia kura...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BWvRX2MNrQc/VS3vopP9orI/AAAAAAAHRKs/Jp0RdxUCma8/s72-c/unnamed.jpg)
WANANCHI WA MOSHI MJINI WAMSHAWISHI KIJANA DAUD MRINDOKO KUGOMBEA UBUNGE 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-BWvRX2MNrQc/VS3vopP9orI/AAAAAAAHRKs/Jp0RdxUCma8/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BWvRX2MNrQc/VS3vopP9orI/AAAAAAAHRKs/Jp0RdxUCma8/s72-c/unnamed.jpg)
WANANCHI WAMSHAWISHI KIJANA DAUD MRINDOKO KUGOMBEA UBUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-BWvRX2MNrQc/VS3vopP9orI/AAAAAAAHRKs/Jp0RdxUCma8/s1600/unnamed.jpg)
Mamia ya wakazi wa Moshi mjini wamefunguka na kumshinikiza kwa kumshawishi kijana moja ajulukanae kwa jina la Daudi Mwidadi Mrindoko achukue fomu za kugombe ubunge wa jimbo hilo la Moshi mjini,mamia na kinamama na kina baba,vijana na wazee wa mji wa Moshi wanamtaja kijana Daudi Mrindoko kuwa ndio tochi na dira ya itakayo waonyesha njia ya mafanikio zaidi 2015 alisemamama moja Merry Kimaro kutoka kundi la wafanyibiashara...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2u2T_mkl9qY/VapBSoHOlPI/AAAAAAADyaA/JDVUyQz-dJg/s72-c/Daudi%2BMrindoko%2Bakikabidhiwa%2Bfomu%2Bya%2Bkugombea%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini.jpg)
KIJANA DAUDI MRINDOKO ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2u2T_mkl9qY/VapBSoHOlPI/AAAAAAADyaA/JDVUyQz-dJg/s640/Daudi%2BMrindoko%2Bakikabidhiwa%2Bfomu%2Bya%2Bkugombea%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zf8j7NUed-k/VapBSzABQ4I/AAAAAAADyaE/UUgguVxABc8/s640/Daudi%2BMrindoko%2Bakiwa%2Bna%2Bfomu%2Bya%2Bkugombea%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ji0BEddTc9s/VatVUCw6VjI/AAAAAAADzJA/b9sKKT24ZO8/s72-c/Daudi%2BMlindoko%2Balipochukua%2Bfomu%2Bya%2BUbunge%2Bjimboni%2BMoshi%2BMjini%2Bkwa%2Btiketi%2Bya%2BCCM.jpg)
KIJANA DAUDI BABU MRINDOKO ARUDISHA FOMU ZA UBUNGE MOSHI MJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ji0BEddTc9s/VatVUCw6VjI/AAAAAAADzJA/b9sKKT24ZO8/s640/Daudi%2BMlindoko%2Balipochukua%2Bfomu%2Bya%2BUbunge%2Bjimboni%2BMoshi%2BMjini%2Bkwa%2Btiketi%2Bya%2BCCM.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rkjSVPXYq-8/VUlOGIpbvTI/AAAAAAADmFQ/lCAO7kgKskw/s72-c/Baadhi%2Bya%2Bwalimu%2Bna%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bza%2BMoshi%2Bmjini%2Bkatika%2Bmdahalo.jpg)
SHULE ZA MOSHI MJINI MJADALA WA KUKUZA NA KUDUMISHA KISWAHILI NA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU, MGENI RASMI KIJANA DAUDI MRINDOKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rkjSVPXYq-8/VUlOGIpbvTI/AAAAAAADmFQ/lCAO7kgKskw/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwalimu%2Bna%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bza%2BMoshi%2Bmjini%2Bkatika%2Bmdahalo.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tVyYDnk4ZvNrY-54B1cl2xSA4JbnE-Cgz5W4oydxBPp*pCJBXQr8yGnSAuIOUrDwQchH20a-knGb54EmL5gP36hiTWHdfUI4/DaudiMrindoko.jpg?width=650)
DAUDI MRINDOKO KASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA WANANCHI WA JIMBO LA MOSHI MJINI KUGOMBEA UBUNGE 2015
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cXctkIhbRTw/VThS2TBd5xI/AAAAAAAHSrE/08OoSqOB4Mk/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
DAUDI MRINDOKO ASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA WANANCHI WA JIMBO LA MOSHI MJINI KUGOMBEA UBUNGE 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXctkIhbRTw/VThS2TBd5xI/AAAAAAAHSrE/08OoSqOB4Mk/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai...
"Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa, Baba zangu na mama zangu na wanadau wote wanaoishi Moshi na wenyeji wa Moshi walio ndani na nje ya Moshi. Mimi mtoto wenu,mdogo wenu na Kijana wenu. DAUDI BABU MRINDOKO
"Nina heshima kubwa na unyeyekevu kwenu ,Pia nawashukuruni sana kwa kunishawishi niweze kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge wa jimbola Moshi...
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE
Kwenye hotuba yake Mh. Mwang'ombe amesisitizia umoja, ushirikiano...
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA DIASPORA, USA, AENDELEA KUWA TISHIO MBIO ZA UBUNGE
Ni Liberatus Mwang’ombe “ Libe”, au kama watu wa Mbarali wanavyo muita “Mnyamwezi” aliye wahi kukaaa DMV (DC, Maryland na Virginia) ameendelea kuwa gumzo kwenye mbio za Ubunge jimboni Mbarali. Mwang’ombe amekuwa akivunja rekodi kwa kila mkutano anao fanya; amekuwa anakusanya watu wengi sana kuliko kipindi chochote cha ubunge jimboni Mbarali
Uwezo wa Mwang’ombe kutoa hotuba za umoja, ushirikiano na bila kuweka uchama imekuwa...