Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA DIASPORA, USA, AENDELEA KUWA TISHIO MBIO ZA UBUNGE


 Juu na chini akiwa Ubaruku. Chini anachukua maswali baada ya mkutano
Ni Liberatus Mwang’ombe “ Libe”, au kama watu wa Mbarali wanavyo muita “Mnyamwezi” aliye wahi kukaaa DMV (DC, Maryland na Virginia) ameendelea kuwa gumzo kwenye mbio za Ubunge jimboni Mbarali.  Mwang’ombe amekuwa akivunja rekodi kwa kila mkutano anao fanya; amekuwa anakusanya watu wengi sana kuliko kipindi chochote cha ubunge jimboni Mbarali
Uwezo wa Mwang’ombe kutoa hotuba za umoja, ushirikiano na bila kuweka uchama imekuwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE

Ni Liberatus Mwang"ombe "Libe" ambaye anaonekana kuzoa umaarufu kila uchao kwa weledi wake wa kutoa hotuba zenye kuwaleta watu pamoja na kuwaita vijana katika siasa. Mh. Mwang'ombe amekuwa gumzo jimboni Mbarali kiasi kwamba amekuwa akisimamishwa na watu mbalimbali mitaani hadi wanafunzi. Leo akifanya mkutano wa kampeni Rujewa ameweza kukusanya watu wengi na kusindikizwa na msafara baada ya mkutano hadi ofisi za CHADEMA wilaya. 





Kwenye hotuba yake Mh. Mwang'ombe amesisitizia umoja, ushirikiano...

 

9 years ago

Vijimambo

JUST IN: MWANA DIASPORA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZU MBIO ZA UBUNGE

 Ni Libertus Mwang'ombe "Libe" aliye wahi kuishi DMV (Virginia, Maryland na D.C.) ameonekana kuwa na mvuto wa kipekee kwenye mbio za kuelekea Dodoma.  Mh. Mwang'ombe amekuwa akikusanya umati wa watu na kushangiliwa kwa sana. Watu wa Mbarali wameonyesha kumkubali kijana huyu ambaye hotuba zake ningi zimekuwa hazina lugha chafu, zina waita watu wa Mbarali kuwa wamoja na kupigania maslai kwa pamoja.
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: JUST PICHA: KIJANA KUTOKA DIASPORA, LIBERATUS MWANG'OMBE AENDELEA KUCHANJA MBUGA MBIO ZA UBUNGE






Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mtunga sheria Tanzania. Msaada wa fedha anaomba utumwe kupitia;

M-PESA- WAVE App number +255 752 494 409
Au, wasiliana na: Rehema Sarmet 301 367 9711Lukresia  240 593 5973Jabil  240 604 0574 





 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: KIJANA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUWA GUMZO TANZANIA

Ni Liberatus Mwang'ombe aka "Libe" au wenyewe wana wa Mbarali wanamuita "Mnyamwezi" amekua kivutio kwa vijana, wazee, wakina mama na kina dada. Mh. Mwang'ombe amekua akizoa kundi la watu kila sehemu anayo tembelea. Vipeperushi vya Mh. Mwang'ombe vimekuwa vikigombaniwa na watu kunyang'anyana. 
Wakiongea kwa nyakati tofauti wananchi wa Luhanga, Utengule na Igurusi wamesema Mh. Mwang'ombe ni mkombozi wa Mbarali baada ya mateso ya CCM kwa mika mingi. Wamesema walimtuma  Mh. Mwang'ombe Marekani...

 

9 years ago

Vijimambo

MWANA DIASPORA KUTOKA MAREKANI AENDELEA KUZOA UMAARUFU MBIO ZA UBUNGE

Ni Liberatus Mwang'ombe "Libe" ameendelea kuwa mwiba kwa wagombea wengine kwa kukusanya makundi ya aina mbalimbali, watoto, wazee, vijana na kinamama. Mh. Mwang'ombe amekua akitoa hotuba kwa uhodari wa hali ya juu na kuwafanya watu wa Mbarali kuwa na matumaini na kujisikia wapo wamoja.Moja ya kipengele chake kweye hotuba kinacho wavutia watu ni pale anapo sema "hatuunganishwi kwa itikadi zetu, vyama vyetu, jinsia zetu, dini zetu wala makabila yetu; bali tunaongunishwa kwa changamoto zinazo...

 

9 years ago

Vijimambo

DEVELOPING STORY: PICHA: MWANA DIASPORA BADO AENDELEA KUWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE

Ni Liberatus Mwang'ombe ambaye amewahi kukaa Washigton D.C., ameendelea kukonga nyoyo za wana Mbarali kwa kila uchao. Kila baada ya mkutano wananchi wa Mbarali wamekuwa wakimuomba asipande gari na watembee naye umbali wa kilometer 2 hadi 3.
 "Wangapi watanipeleka Dododma? Mikono juu". Hayo yalikuwa maneno ya Mh. Mwang'ombe akiwauliza wananchi ambao wote walinyosha mikono juuBaada ya mkutano mitaa ilifungwa na wananchi kumwambia Mh. Mwang'ombe asipande gari bali atembee nao umbali wa kilometer...

 

9 years ago

Vijimambo

BREKING NEWS: MWANA DIASPORA KUTOKA DMV AWA GUMZO MBIO ZA UBUNGE

Ni Liberatus Mwang'ombe "Libe" katika ubora wake ameweza kukonga nyoyo za watu wa Mbarali na Watanzania kwa ujumla. Mwang'ombe ameingia kwa style tofauti na wagombea wengi ambao wamekuwa wakivaa kombati au sale za CHADEMA: Yeye, Mwang'ombe, alitokea halmashauri akiwa amepigilia suti nyeusi na tai nyekundu huku akiwa anakitambaa chenye rangi za CHADEMA na beji ya CHADEMA.  Wana Mbarali wengi wameonyeshwa kufurahishwa na Mwang'ombe aliye onyesha style tofauti na wagombea wengi ambao wamekuwa...

 

9 years ago

Vijimambo

MBIO ZA UBUNGE: LIBERATUS MWANG'OMBE AENDELEA KUWA KIMEO KWA WAGOMBEA WENZAKE

Nyota ya mwana-diaspora kutoka Marekani inaonekana kung'aa kwenye mbio za ubunge mwaka huu. Ni Liberatus Mwang'ombe "Libe" ambaye amekuwa akijizolea umaarufu kila uchao. Mh. Mwang'ombe amekuwa akivunja rekodi kila siku kwa kuwa na mvuto kwenye mikutano yake kuliko mgombea yoyote aliye wahi kutokea kwenye historia ya jimbo la Mbarali.
Mh. Mwang'ombe anaye onekana kuwavutia watu wa rika mbalimbali amekuwa changamoto kwa wagombea wengine ambao kuna baadhi ya maeneo wameshindwa kufanya mikutano...

 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MBIO ZA UBUNGE: MAFULIKO YAHAMIA MBARALI KWA MWANG'OMBE, AVUNJA REKODI

Liberatus Mwang'ombe "Libe" ameendelea kuvunja rekodi kwa kukusanya watu wengi kuliko mgombea yeyote wa ubunge aliye wahi kutokea jimbo la Mbarali. Mh. Mwang'ombe ambaye amekuwa akiendesha mikutano yake kwa namna ya kipekee kabisa; leo, baada ya kuhutubia aliacha dakika 45 ambapo alisema "nimeomba mdahalo na mgombea wa CCM, Haroon, amekataa; nimeomba mdahalo na mgombea wa ACT, Modestus Kilufi, amekataa; sasa nawaruhusu watu wa Ubaruku mnifanyie mdahalo peke yangu."Watu wa Ubaruku walimuuliza Mh....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani