SHULE ZA MOSHI MJINI MJADALA WA KUKUZA NA KUDUMISHA KISWAHILI NA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU, MGENI RASMI KIJANA DAUDI MRINDOKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rkjSVPXYq-8/VUlOGIpbvTI/AAAAAAADmFQ/lCAO7kgKskw/s72-c/Baadhi%2Bya%2Bwalimu%2Bna%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bza%2BMoshi%2Bmjini%2Bkatika%2Bmdahalo.jpg)
Mjadala kubwa wa kukuza na kudumisha lugha ya Kiswahili ulitawala katika Debate iliyofanyika mjini Moshi,mdahalo huo uliudhuriwa na walimu pamoja na wanafunzi kutoka shule za Secondary...Korongoni Secondary / Regnal Mengi Secondary / Bendel secondary / Mother Theresa Secondary na zinginezo katika mdahalo huo mgeni rasmi alikuwa Kijana Daudi Babu Mrindoko mwenyekiti wa tahasisi ya Wazalendo Tanzania pia mjumbe wa Uvccm mkoa kilimanjaro.Wanafunzi wa shule hizo wamedhamiria kukikuza,kukidumisha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2u2T_mkl9qY/VapBSoHOlPI/AAAAAAADyaA/JDVUyQz-dJg/s72-c/Daudi%2BMrindoko%2Bakikabidhiwa%2Bfomu%2Bya%2Bkugombea%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini.jpg)
KIJANA DAUDI MRINDOKO ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2u2T_mkl9qY/VapBSoHOlPI/AAAAAAADyaA/JDVUyQz-dJg/s640/Daudi%2BMrindoko%2Bakikabidhiwa%2Bfomu%2Bya%2Bkugombea%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zf8j7NUed-k/VapBSzABQ4I/AAAAAAADyaE/UUgguVxABc8/s640/Daudi%2BMrindoko%2Bakiwa%2Bna%2Bfomu%2Bya%2Bkugombea%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ji0BEddTc9s/VatVUCw6VjI/AAAAAAADzJA/b9sKKT24ZO8/s72-c/Daudi%2BMlindoko%2Balipochukua%2Bfomu%2Bya%2BUbunge%2Bjimboni%2BMoshi%2BMjini%2Bkwa%2Btiketi%2Bya%2BCCM.jpg)
KIJANA DAUDI BABU MRINDOKO ARUDISHA FOMU ZA UBUNGE MOSHI MJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ji0BEddTc9s/VatVUCw6VjI/AAAAAAADzJA/b9sKKT24ZO8/s640/Daudi%2BMlindoko%2Balipochukua%2Bfomu%2Bya%2BUbunge%2Bjimboni%2BMoshi%2BMjini%2Bkwa%2Btiketi%2Bya%2BCCM.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tVyYDnk4ZvNrY-54B1cl2xSA4JbnE-Cgz5W4oydxBPp*pCJBXQr8yGnSAuIOUrDwQchH20a-knGb54EmL5gP36hiTWHdfUI4/DaudiMrindoko.jpg?width=650)
DAUDI MRINDOKO KASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA WANANCHI WA JIMBO LA MOSHI MJINI KUGOMBEA UBUNGE 2015
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cXctkIhbRTw/VThS2TBd5xI/AAAAAAAHSrE/08OoSqOB4Mk/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
DAUDI MRINDOKO ASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA WANANCHI WA JIMBO LA MOSHI MJINI KUGOMBEA UBUNGE 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXctkIhbRTw/VThS2TBd5xI/AAAAAAAHSrE/08OoSqOB4Mk/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai...
"Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa, Baba zangu na mama zangu na wanadau wote wanaoishi Moshi na wenyeji wa Moshi walio ndani na nje ya Moshi. Mimi mtoto wenu,mdogo wenu na Kijana wenu. DAUDI BABU MRINDOKO
"Nina heshima kubwa na unyeyekevu kwenu ,Pia nawashukuruni sana kwa kunishawishi niweze kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge wa jimbola Moshi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BWvRX2MNrQc/VS3vopP9orI/AAAAAAAHRKs/Jp0RdxUCma8/s72-c/unnamed.jpg)
WANANCHI WA MOSHI MJINI WAMSHAWISHI KIJANA DAUD MRINDOKO KUGOMBEA UBUNGE 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-BWvRX2MNrQc/VS3vopP9orI/AAAAAAAHRKs/Jp0RdxUCma8/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Oj5rFamCSQI/VX7MdTWPGdI/AAAAAAADr7k/GNrtUlmwMSQ/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
MBIO ZA UBUNGE MOSHI MJINI,KWA NINI ? KIJANA DAUD MRINDOKO VUTIO LA WENGI !
![](http://3.bp.blogspot.com/-Oj5rFamCSQI/VX7MdTWPGdI/AAAAAAADr7k/GNrtUlmwMSQ/s640/Daudi%2BMrindoko.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
KIJANA DAUDI MRINDOKO MGOMBEA MWENYE UMRI MDOGO ZAIDI KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s640/Daudi%2BMrindoko.jpg)
Wakati tunahesabu miezi kuelekea uchaguzi mkuu 2015,mengi ya kufurahisha yanahibuka kama vile wananchi wa jimbo la Moshi Mjini kumshawishi mgombea waokijana Daudi Babu Mrindoko achukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo 2015,na kumiminia sifa zote zinazofaa kijana huyo wa mjini Moshi achaguliwe.wakazi hao wa jimbo la Moshi Mjini kwa sasa wanadai kuwa kijana wao waliomshawishi achukue fomu ndiye Mgombea kijana mwenye umri mdogo kuliko wengine wote wenye nia ya kugombea...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xK39Vwy112I/Ux2dpk1kIAI/AAAAAAAFSqI/WuV5Tupurfk/s72-c/unnamed+(25).jpg)
WAZAZI WANAYO NAFASI KUBWA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU - MKUU WA WILAYA YA CHATO
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Rais Kikwete kuwa Mgeni rasmi katika Kikao cha kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Hawa A. Ghasia akiwakaribisha wajumbe wa Kikao kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi kinachofanyika katika ukumbi wa Chimwaga, Chuo Kikuu cha Dodoma kuanzia tarehe 01-03 Oktoba, 2014. Lengo la kikao hicho ni kuainisha Mafanikio na Changamoto katika utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa katika Sekta ya Elimu.
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kwa kushirikiana na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo wameandaa kikao cha kazi kuhusu...