Rais Kikwete kuwa Mgeni rasmi katika Kikao cha kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Hawa A. Ghasia akiwakaribisha wajumbe wa Kikao kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi kinachofanyika katika ukumbi wa Chimwaga, Chuo Kikuu cha Dodoma kuanzia tarehe 01-03 Oktoba, 2014. Lengo la kikao hicho ni kuainisha Mafanikio na Changamoto katika utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa katika Sekta ya Elimu.
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kwa kushirikiana na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo wameandaa kikao cha kazi kuhusu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mtvGQMaGEL0/VlqYSW9M6SI/AAAAAAAII4U/eUoUCys3Nd8/s72-c/1.png)
Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi
Serikali imeamua kutoa elimu pasipo malipo kwa elimu ya msingi kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha nne, kuanzia mwaka wa masomo wa 2016 kama ilivyoahidi. Azma hii ya serikali ni katika kutekeleza sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo ina lengo la kuhakikisha kwamba watoto wote wa Tanzania wanapata Elimu bila kikwazo ikiwemo ada au malipo. Katika kutekeleza maamuzi hayo, ada zote zilizokuwa zikilipwa kwa ajili ya elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne zimefutwa.Pia, waraka wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TT0-1Y68s00/VNIAcPvdpHI/AAAAAAAHBhM/a4yzgIDUQsQ/s72-c/MMGL0478.jpg)
RAIS KIKWETE MGENI RASMI KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TT0-1Y68s00/VNIAcPvdpHI/AAAAAAAHBhM/a4yzgIDUQsQ/s1600/MMGL0478.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YPJMSv7uNrs/VNIAY1U9tHI/AAAAAAAHBhE/wK_5uCFjNt8/s1600/MMGL0472.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EbgquWvymcE/VNIAc3Y6UrI/AAAAAAAHBhU/20KCfcSUXII/s1600/MMGL0262.jpg)
PICHA ZAIDI ZINAKUJIA HIVI PUNDE
10 years ago
MichuziRais Kikwete mgeni rasmi wiki ya elimu
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-GN-49MkWW-o/VQtVMkGKn7I/AAAAAAAAIFg/sEN5ZpO1jD0/s72-c/IMG_2090.jpg)
Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi TUZO YA JAMII
![](http://2.bp.blogspot.com/-GN-49MkWW-o/VQtVMkGKn7I/AAAAAAAAIFg/sEN5ZpO1jD0/s640/IMG_2090.jpg)
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa tuzo hizo Gadiel Urioh, tuzo hizo zitatolewa kwenye ukumbi wa Julius Nyerere Convention Center jijini Dar Es Salaam.
Utaratibu mzima wa upigaji kura umefafanuliwa kwenye video na / ama taarifa kwa vyombo vya habari hapa chini
![](http://3.bp.blogspot.com/-BXEQa34Cdw0/VQtVMQwtdmI/AAAAAAAAIFY/iWUQiy6FYqE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ktM1bdUAnv4/VQtVMrW-CNI/AAAAAAAAIFc/t3j4zanEPdY/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FzoBrhudSMg/VQtVNAXY_sI/AAAAAAAAIFk/mJAC-ZoHn14/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AG1aAGRcMHo/VQtVNX3mZ9I/AAAAAAAAIFo/jCn62-MUeZE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0004.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwTVYv2PME0/VQtVNbW2g-I/AAAAAAAAIFw/02uywSGMzvE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ex3dfsFRPLI/VQtVNrEQqRI/AAAAAAAAIF0/RqAJ3Txhm5s/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0006.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cb0714bdzOE/VC2L9IsQmtI/AAAAAAAGnWI/wEx10YzSnnE/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA KIKAO CHA KAZI KWA VIONGOZI WA MIKOA,WILAYA NA HALMASHAURI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cb0714bdzOE/VC2L9IsQmtI/AAAAAAAGnWI/wEx10YzSnnE/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xPZOY2p8Bd4/VC2L97OX9OI/AAAAAAAGnWM/TlZa-mtKqlg/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UWdG6bJiP50/VC17QmVClII/AAAAAAADGlo/K9T34tfCJ20/s72-c/dom1.jpg)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA KIKAO CHA KAZI KWA VIONGOZI WA MIKOA< WILAYA NA HALMASHAURI MJINI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-UWdG6bJiP50/VC17QmVClII/AAAAAAADGlo/K9T34tfCJ20/s1600/dom1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LpcM4UC7w6M/VC17Qk3qILI/AAAAAAADGlk/HRrVxdZAy30/s1600/dom2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UgYHjDbvO90/VC17QaB2j-I/AAAAAAADGlg/76NB4QP4OXU/s1600/dom3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--o_ZdCeahGk/VC17RrNUL3I/AAAAAAADGl4/DEMVcgmJVyo/s1600/jk2.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI CHUO CHA UDAKTARI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zSB5UrD7OfQ/VZqVc7a_qbI/AAAAAAAHnU8/OPlFkFehqsg/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
Rais Kikwete aongoza kikao cha Dharura cha wakuu wa nchi za EAC
![](http://4.bp.blogspot.com/-zSB5UrD7OfQ/VZqVc7a_qbI/AAAAAAAHnU8/OPlFkFehqsg/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w0Z1fyUMvEo/VZqXLsog4YI/AAAAAAAHnVQ/4oVdlx93CXg/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WKyM3IlQ0Lo/VXhgJiWEEDI/AAAAAAAHehE/ENJaSUJ9Q_8/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA ALBINO ARUSHA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya Siku ya Albino kitaifa yatayofanyika Juni 13,mwaka huu kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo,Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda alisema wamepata fursa ya kuwa wenyeji kutokana na kutokua na matukio ya ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na takwimu za mkoa wapo Albino 199.
“Mkoa una jumla ya watu wenye...
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo,Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda alisema wamepata fursa ya kuwa wenyeji kutokana na kutokua na matukio ya ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na takwimu za mkoa wapo Albino 199.
“Mkoa una jumla ya watu wenye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania