Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WWF-Tanzania wapeleka neema Kilwa

JUMAMOSI ya Machi 30 mwaka huu, ilikuwa ni siku ya furaha kwa wananchi wa Kijiji cha Nakiu, Kata ya Nakiu katika Tarafa ya Nanjilinji baada ya kupatiwa mitambo ya kuwasha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

WWF prepares Tanzania national forest standards

Tanzania expects to have its national forest standards by next year, making forest harvest activities health for the economy.

 

11 years ago

Michuzi

WWF TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA WANYAMAPORI DUNIANI,HUKO WILAYANI TUNDURU

Baadhi ya shule za msingi na sekondari katika wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, zikiongoza maandamano ya wananchi kuhamasisha kulinda na kuhifadhi maliasili za nchi katika kuadhimisha siku ya wanyamapori duniani, tarehe 3 Machi 2014. Mkuu wa wilaya ya Tunduru, Bakari Chande Nalicho (wa kwanza kulia), wawakilishi wa WWF-Tanzania Rodney Ngalamba na Nalimi Madata, mkurugenzi halmashauri wilaya ya Tunduru John Kamwela na afisa maliasili wilaya ya Tunduru Japhet Mnyagala, wakipokea maandamano...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sunderland FC yapeleka neema Tanzania

Rais Jakaya Kikwete amezindua ujenzi wa kituo cha vijana cha michezoambacho kimefadhiliwa na Sunderlland na Symbion.

 

11 years ago

Habarileo

Bilionea Dangote kuleta neema Tanzania

Mfanyabishara maarufu wa Nigeria, Aliko Dangote akizungumza na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya TSN, Gabriel Nderumaki (wapili kulia), Mhariri Mtendaji wa Uhuru Publications, Joseph Kulangwa (wapili kushoto) na Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Nurdin Abdallah Mangochi (kulia) jijini Dar es Salaam jana. (Na Mpigapicha Wetu).KAMPUNI ya Dangote Group inayomilikiwa na bilionea kutoka Nigeria, imetangaza neema itakayotokana na uwekezaji wa kiwanda cha saruji unaofanyika mkoani Mtwara, miongoni mwake ikiwa ni kupungua kwa bei ya saruji uzalishaji utakapoanza.

 

10 years ago

Habarileo

China yamwaga neema kwa Tanzania

SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imetangaza neema kubwa kwa Tanzania, ikiwa ni pamoja na kutoa dola za Marekani milioni 85 (Sh bilioni 140) kwa ajili ya shughuli za maendeleo na kuisaidia Tanzania kufanya mageuzi ya viwanda.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JWT wapeleka majina kuunda kamati

UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) kesho utapeleka kwa Waziri wa Fedha majina matano yaliyopendekezwa kuunda kamati ya watu 10 baina yao na Mamlaka ya Mapato (TRA) yenye lengo...

 

10 years ago

StarTV

Madiwani Mbozi Magharibi wapeleka maombi ya kubadilisha jina.

Na Fredy Bakalemwa,

Mbeya.

 

Baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Momba mkoani Mbeya limepitisha mapendekezo ya kupeleka maombi maalumu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutaka jina la Jimbo la Mbozi Magharibi libadilishwe kuwa jimbo la Momba.

Katika mapendekezo hayo, baraza hilo pia limeomba halmashauri ya mji wa Tunduma kuwa jimbo la uchaguzi ikizingatiwa idadi kubwa ya watu waliopo.

Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, wilaya hiyo ina zaidi ya watu 293,000, kati ya...

 

10 years ago

GPL

EL CLASICO: MATHIEU, SUAREZ WAPELEKA KILIO REAL MADRID

Luis Suarez akishangilia bao aliloifungia Barcelona na kuipa ushindi wa 2-1 dhidi ya Real Madrid usiku huu. Lionel Messi akijaribu kuwatoka wachezaji wa Real Madrid wakati wa mechi hiyo. Cristiano Ronaldo akiifungia Real Madrid bao pekee…

 

9 years ago

Vijimambo

MBATIA,SELASINI NA KOMU WAPELEKA MABADILIKO JIMBO LA MOSHI VIJIJINI

Viongozi wa Chadema wakiwasili katika uwanja wa Limpopo TPC kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni kwa mgombea Ubunge wa jimbo hilo,Anthony Komu.
Baaadhi ya viongozi na wanachama wa Chadema wakiwa katika mkutano huo.Mgombea Ubunge katika jimbo la Rombo ,Joseph Selasini ,akizunbumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni katika jimbo la Moshi vijijini.Wananchi wakifuatolia mkutano huo.Mgombea Ubunge jimbo la Rombo ,Joseph Selasini akisalimiana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Vunjo,James Mbatia wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani