Sunderland FC yapeleka neema Tanzania
Rais Jakaya Kikwete amezindua ujenzi wa kituo cha vijana cha michezoambacho kimefadhiliwa na Sunderlland na Symbion.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Serikali yapeleka neema ya maji Manyoni, kutumia Bil moja na nusu
Picha juu na chini ni Naibu Waziri wa Maji, Mh. Amos Makala, akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kijiji cha Makale na Itagata jimbo la Manyoni magharibi.Makala alikuwa jimbo la Manyoni magharabi kwenye ziara ya kikazi ya siku moja.Kushoto ni mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi, John Paulo Lwanji.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala (Mb), amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida na kutangaza neema ya maji baada ya kusema kuwa...
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Tanzania yapeleka vipimo vya ebola Nairobi
5 years ago
BBCSwahili08 May
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1lK9seI43kA/VHuSKNgFZnI/AAAAAAAG0bA/nDoA3F-qk8I/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
SUNDERLAND 0 CHELSEA 0 AND TANZANIA 1
10 years ago
Michuzi05 Dec
Tanzania Seeks Out Sunderland FC to Promote Its Tourism.
A closer look at the once vibrant industry, the number of international tourists’ arrivals has plummeted owing to the incessant terror threats and attacks from the Al-Shabaab militant group thereupon scaring the visitors away.
![](http://www.tambaa.co.ke/images/AVisit%20Tanzania.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii Bw. Geofrey Meena, Teddy Mapunda mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya (TTB) na kutoka kushoto ni Mdau wa Utalii Bw. Nestor Mapunda na Kaimu Mkurugenzi...
10 years ago
Vijimambo08 Dec
BODI YA UTALII TANZANIA (TTB) TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA SUNDERLAND (SAFC) ZATANGAZA UTALII WA TANZANIA UINGEREZA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/110.jpg)
9 years ago
TheCitizen19 Oct
Sunderland AFC celebrates opening of youth park in Tanzania