Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yapeleka neema ya maji Manyoni, kutumia Bil moja na nusu

DSC09837

Picha juu na chini ni Naibu Waziri wa Maji, Mh. Amos Makala, akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kijiji cha Makale na Itagata jimbo la Manyoni magharibi.Makala alikuwa jimbo la Manyoni magharabi  kwenye ziara ya kikazi ya siku moja.Kushoto ni mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi, John Paulo Lwanji.

Na Nathaniel Limu, Manyoni

Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala (Mb), amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Manyoni  mkoa wa Singida na kutangaza neema ya maji baada ya kusema kuwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Serikali yapeleka Sh bil 18 za elimu

simbachaweneNA RAMADHAN HASSAN, DODOMA

SERIKALI imepanga kupeleka Sh bilioni 18.77 kila mwezi kwa ajili ya kugharimia elimu bure kuanzia Januari, mwakani.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene alisema fedha hizo zitapelekwa kwa awamu ili zitumike kama ilivyokusudiwa.

Alisema katika mpango huo, Serikali itagharimia gharama zote za  mtihani wa kidato cha nne kwa wanafunzi wote, tofauti na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sunderland FC yapeleka neema Tanzania

Rais Jakaya Kikwete amezindua ujenzi wa kituo cha vijana cha michezoambacho kimefadhiliwa na Sunderlland na Symbion.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yadaiwa Sh bil 15 ankara za maji

Profesa Jumanne Maghembe.WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, amesema mamlaka za maji na mashirika yanayotoa huduma za maji nchini, yanaidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 15 na wadaiwa wakubwa ni vyombo vya ulinzi na usalama.

 

11 years ago

Habarileo

Taasisi za Serikali zadaiwa bil.10/-za maji

Profesa Jumanne MaghembeTAASISI mbalimbali za Serikali, ikiwemo hospitali, majeshi na magereza, zinadaiwa na mamlaka za maji nchini zaidi ya Sh bilioni 10 ambazo ni malimbikizo ya ankara za maji.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yaiongezea Wizara ya Maji Sh100 bil

Kuna kila dalili kwamba homa ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Maji na ile ya Nishati na Madini inazidi kupanda na jana wabunge wa CCM walikutana kwa dharura ili kunusuru bajeti hizo.

 

11 years ago

GPL

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE. AMOS MAKALLA WILAYANI MANYONI

Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makalla akipata maelezo wa ujenzi wa bwawa la kijiji cha Itagate wilayani Manyoni.
Mhe. Amos Makalla (katikati) na Mbunge wa Manyoni, Capt John Chiligati (shati la kahawia) wakiangalia sehemu patakapochimbwa kisima kirefu cha kijiji cha…

 

11 years ago

Michuzi

Ziara ya naibu waziri maji Mhe Amos Makalla wilaya ya manyoni

Naibu Waziri wa Maji Mhe  Amos makalla akipata maelezo wa ujenzi wa bwawa la kijiji cha Itagate wilayani Manyoni  Mhe Amos Makalla ( katikati) na mbunge wa manyoni capt John chiligati (shati la kahawia) wakiangalia sehemu patakapochimbwa kisima kirefu kijiji cha Mbwasa Nawasilisha.  Mhe Amos Makalla ( katikati) na mbunge wa Manyoni Mhe  John chiligati (kulia) wakiangalia sehemu patakapochimbwa kisima kirefu katika kijiji cha Mbwasa

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ikungi kutumia bil. 25/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, inatarajia kutumia shilingi bilioni 25.696 katika mwaka wa fedha 2014/2015 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shughuli za maendeleo. Akisoma taarifa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani