Serikali yaiongezea Wizara ya Maji Sh100 bil
Kuna kila dalili kwamba homa ya makadirio ya matumizi ya Wizara ya Maji na ile ya Nishati na Madini inazidi kupanda na jana wabunge wa CCM walikutana kwa dharura ili kunusuru bajeti hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Jan
Taasisi za Serikali zadaiwa bil.10/-za maji
TAASISI mbalimbali za Serikali, ikiwemo hospitali, majeshi na magereza, zinadaiwa na mamlaka za maji nchini zaidi ya Sh bilioni 10 ambazo ni malimbikizo ya ankara za maji.
10 years ago
Habarileo20 Dec
Serikali yadaiwa Sh bil 15 ankara za maji
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, amesema mamlaka za maji na mashirika yanayotoa huduma za maji nchini, yanaidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 15 na wadaiwa wakubwa ni vyombo vya ulinzi na usalama.
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Serikali yapeleka neema ya maji Manyoni, kutumia Bil moja na nusu
Picha juu na chini ni Naibu Waziri wa Maji, Mh. Amos Makala, akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kijiji cha Makale na Itagata jimbo la Manyoni magharibi.Makala alikuwa jimbo la Manyoni magharabi kwenye ziara ya kikazi ya siku moja.Kushoto ni mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi, John Paulo Lwanji.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala (Mb), amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida na kutangaza neema ya maji baada ya kusema kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uboZO9iyOlo/Xm-HkWb2C-I/AAAAAAALj7A/nl9oYX2ELqQEBIgUGQa6emhscn3TLfoJACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Feb
WIZARA YA MAJI KUPITIA BRN IMEFIKISHA MAJI KWA WANANCHI M.4.2
![IMG-20150203-WA0039](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150203-WA0039.jpg)
Waziri wa maji kupitia mpango wa BRN,kuanzia mwaka 2013 hadi sasa,imefanikiwa kuwafikishia maji wananchi milioni 4.3 wanaoishi maeneo ya mijini Aidha zaidi ya watu milioni 2 wanaoishi maeneo ya vijijini wamepatiwa huduma ya maji kupitia BRN.
Waziri wa maji profesa jumanne maghembe ameyasema hayo Februari 3, 2015 mjini Dodoma alipokuwa...
5 years ago
MichuziWIZARA YA MAJI KUTENGA SHILINGI BILIONI 2, KUPELEKA MAJI MASHULENI NA VITUO VYA AFYA
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AZINDUA MRADI WA MAJI MBAGALA KUU,JIJINI DAR LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-soLM4b_dCzc/XvB0Rwc8W5I/AAAAAAAAlNg/-j0Y6oREdEklO4rrGBVGktH1gERKg6_bACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
MWAKA WA FEDHA WA 2020/ 2021 WIZARA YA MAJI KUFANYA USANIFU WA MRADI MKUBWA WA MAJI KUTOKA ZIWA VICTORIA KWENDA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-soLM4b_dCzc/XvB0Rwc8W5I/AAAAAAAAlNg/-j0Y6oREdEklO4rrGBVGktH1gERKg6_bACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uyQgqhVbuRE/XvB0SBd_cBI/AAAAAAAAlNo/eCQL7XUi-Gcytw-i44JFf675RnsJAekKwCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mqrGAsN7MKU/XvB0SAxv68I/AAAAAAAAlNk/vVFsMAzpvowAmdPfnDJioSP3Rors3LOmgCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9H745EJRBJQ/XvB0W5G6CRI/AAAAAAAAlNs/VDCsFfBo9QUq4zWavfUXK7UEkhcapxlpgCLcBGAsYHQ/s640/4.png)
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Bil. 1.8 zajenga miundombinu ya maji
SERIKALI imetumia sh. bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji katika Kijiji cha Kibirizi wilayani Bukoba.
Fedha hizo zimetumika kuchimba mitaro saba yenye urefu wa kilometa 84 na magati 110, tanki za kuhifadhia huku kazi iliyobaki kwa sasa ni kulaza mabomba na kujenga magati 15.
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Agrey Mwanri, alisema bungeni jana kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha wakazi wa kijiji hicho wanapata maji safi na salama.
Alikuwa akijibu swali la...