Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ikungi kutumia bil. 25/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, inatarajia kutumia shilingi bilioni 25.696 katika mwaka wa fedha 2014/2015 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shughuli za maendeleo. Akisoma taarifa ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Vodacom kutumia Sh bil 6.6 katika soka

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), jana limeingia mkataba mpya wa Sh bilioni 6.6 na kampuni ya simu za mkononi Vodacom kwa ajili ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.

Mkataba huo wa miaka mitatu unaifanya Vodacom kuendelea kuwa wadhamini wakuu wa ligi kuu nchini kwa miaka mitatu zaidi katika msimu wa 2015/16 ambapo kila mwaka watakuwa wakipokea Sh bil 2.2. Aidha, msimu mpya wa ligi utakaoanza Septemba 12 mwaka huu utakuwa na timu 16 zitakazomenyana mwa miezi tisa kinyume na awali ligi...

 

11 years ago

Habarileo

Tabora kutumia bil 13.1/- kwa barabara

MKOA wa Tabora unatarajia kutumia kiasi cha Sh 13,154,098,000 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014.

 

11 years ago

Mwananchi

Umeme kutumia Sh123 bil kumaliza

Jiji la Dar es Salaam limetengewa Sh123 bilioni kwa ajili ya kumaliza tatizo la umeme katika Mwaka wa Fedha 2014/15, Bunge lilielezwa juzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilwa kutumia bil. 28/- miradi ya maendeleo

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa inatarajia kutumia sh bilioni 28.6 katika mwaka wa fedha ujao kwa ajili ya miradi ya maendeleo itakayowashirikisha wadau. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...

 

10 years ago

Mwananchi

Tiper kutumia Sh19 bil. kuhifadhi mafuta

>Kampuni ya Tanzania International Petroleum Reserves Limited (Tiper), inatarajia kuongeza uwezo wake wa kuhifadhi mafuta mara mbili zaidi, baada ya kukamilika kwa ukarabati wa matangi yake mawili yenye mita za ujazo 36,600 kila moja ifikapo Machi, mwaka huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi chuo cha Veta Geita kutumia bil. 6.7/-

MAMLAKA ya Veta Kanda ya Ziwa imesema zaidi ya sh bilioni 6.7 zitatumika katika ujenzi wa chuo cha mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma mkoani hapa. Hayo yalibainishwa hivi karibuni...

 

11 years ago

Habarileo

TASAF kutumia bil 480/- kunusuru kaya masikini

MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) itatumia Sh bilioni 480 katika awamu ya tatu ya mradi wa mpango wa kunusuru kaya masikini zilizo katika mazingira hatarishi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yapeleka neema ya maji Manyoni, kutumia Bil moja na nusu

DSC09837

Picha juu na chini ni Naibu Waziri wa Maji, Mh. Amos Makala, akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kijiji cha Makale na Itagata jimbo la Manyoni magharibi.Makala alikuwa jimbo la Manyoni magharabi  kwenye ziara ya kikazi ya siku moja.Kushoto ni mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi, John Paulo Lwanji.

Na Nathaniel Limu, Manyoni

Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala (Mb), amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Manyoni  mkoa wa Singida na kutangaza neema ya maji baada ya kusema kuwa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani