Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tabora kutumia bil 13.1/- kwa barabara

MKOA wa Tabora unatarajia kutumia kiasi cha Sh 13,154,098,000 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-

MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ikungi kutumia bil. 25/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, inatarajia kutumia shilingi bilioni 25.696 katika mwaka wa fedha 2014/2015 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shughuli za maendeleo. Akisoma taarifa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilwa kutumia bil. 28/- miradi ya maendeleo

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa inatarajia kutumia sh bilioni 28.6 katika mwaka wa fedha ujao kwa ajili ya miradi ya maendeleo itakayowashirikisha wadau. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Vodacom kutumia Sh bil 6.6 katika soka

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), jana limeingia mkataba mpya wa Sh bilioni 6.6 na kampuni ya simu za mkononi Vodacom kwa ajili ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.

Mkataba huo wa miaka mitatu unaifanya Vodacom kuendelea kuwa wadhamini wakuu wa ligi kuu nchini kwa miaka mitatu zaidi katika msimu wa 2015/16 ambapo kila mwaka watakuwa wakipokea Sh bil 2.2. Aidha, msimu mpya wa ligi utakaoanza Septemba 12 mwaka huu utakuwa na timu 16 zitakazomenyana mwa miezi tisa kinyume na awali ligi...

 

11 years ago

Mwananchi

Umeme kutumia Sh123 bil kumaliza

Jiji la Dar es Salaam limetengewa Sh123 bilioni kwa ajili ya kumaliza tatizo la umeme katika Mwaka wa Fedha 2014/15, Bunge lilielezwa juzi.

 

10 years ago

Habarileo

Bil 4/- kuboresha barabara Dar

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSHILINGI bilioni nne zinatarajiwa kuanza kutumika kurekebisha maeneo korofi yaliyoharibiwa na mafuriko yaliyotokea jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

 

10 years ago

Mwananchi

Tiper kutumia Sh19 bil. kuhifadhi mafuta

>Kampuni ya Tanzania International Petroleum Reserves Limited (Tiper), inatarajia kuongeza uwezo wake wa kuhifadhi mafuta mara mbili zaidi, baada ya kukamilika kwa ukarabati wa matangi yake mawili yenye mita za ujazo 36,600 kila moja ifikapo Machi, mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barabara Mpanda-Misamo yatengewa bil. 4.5/-

SHILINGI bilioni 4.5 zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Mpanda hadi Mishamo kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilomita 100. Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi chuo cha Veta Geita kutumia bil. 6.7/-

MAMLAKA ya Veta Kanda ya Ziwa imesema zaidi ya sh bilioni 6.7 zitatumika katika ujenzi wa chuo cha mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma mkoani hapa. Hayo yalibainishwa hivi karibuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani