Kilwa kutumia bil. 28/- miradi ya maendeleo
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa inatarajia kutumia sh bilioni 28.6 katika mwaka wa fedha ujao kwa ajili ya miradi ya maendeleo itakayowashirikisha wadau. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s72-c/3.jpg)
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi
![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jzdmupVD07I/VMCswcuD1RI/AAAAAAAG-0w/iflIDowcVMc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DiQhVYP9zj0/VMCs2uskuQI/AAAAAAAG-2U/EiFI6RtU3Is/s1600/7.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Ikungi kutumia bil. 25/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, inatarajia kutumia shilingi bilioni 25.696 katika mwaka wa fedha 2014/2015 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shughuli za maendeleo. Akisoma taarifa ya...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Bil.1.3/- kutekeleza miradi Iringa
HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa itatumia sh bilioni 1.3 katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maji. Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji kazi wa Kamati ya Mipango na Mazingira kwa kipindi cha robo...
10 years ago
Habarileo24 Oct
Miradi ya UN nchini yasaidiwa bil. 42/-
SWEDEN imeyapatia mashirika ya Umoja wa Mataifa yaliyopo hapa nchini jumla ya Sh bilioni 42 kusaidia miradi yake ya maendeleo inayofanya Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Mwenge wazindua miradi ya bil. 5.6/-
MIRADI nane yenye thamani ya sh. bilioni 5.6 imetembelewa na kuzinduliwa na mbio za mwenge katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam huku kiongozi wa mbio hizo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-
MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Mwenge wazindua miradi saba ya bil.1/-
MIRADI saba yenye thamani ya sh 1,029,561,685 imezinduliwa na mbio za mwenge wa uhuru wilayani Kilombero, mwaka huu. Akizungumzia hilo mjini hapa jana, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Hassan Masala,...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Miradi ya BRN yatafuna bil. 500/-
SERIKALI imetumia zaidi ya sh bilioni 500 kwa ajili ya utekeleaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika kipindi cha Julai hadi Desemba, 2013. Hayo yalisemwa jana na kiongozi...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10