Bil.1.3/- kutekeleza miradi Iringa
HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa itatumia sh bilioni 1.3 katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maji. Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji kazi wa Kamati ya Mipango na Mazingira kwa kipindi cha robo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Magereza waingia ubia kutekeleza miradi mikubwa
KAMISHNA Jenerali wa Magereza nchini (CGP), John Minja, amesema kuwa jeshi hilo kwa sasa limeanza kuingia ubia na baadhi ya kampuni za ndani na nje ya nchi ili kutekeleza miradi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-km_xp0h3WnE/U4ue1w5c-AI/AAAAAAAFnC0/qCqsZpAYEKU/s72-c/New+Picture+(2).png)
BILION 236 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI VIJIJINI
Hayo yamesemwa bungeni na waziri wa Maji Mh Prof Jumanne Maghembe wakati akiwasilisha bajeti yake ya makadirio na matumizi kwa mwaka 2014/2015.
Aliainisha kuwa kazi zitakazotekelezwa ni ujenzi na upanuzi wa miradi ya Maji pamoja na ukarabati wa miundo mbinu ya Maji. Kukamilika kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vp03YZcSa2g/VEuXt3nwIAI/AAAAAAAGtWM/wly3d_C-Wuw/s72-c/Ombeni-Sefue.jpg)
BALOZI SEFUE AAHIDI KUTEKELEZA MIRADI YA AFYA BRN
![](http://2.bp.blogspot.com/-vp03YZcSa2g/VEuXt3nwIAI/AAAAAAAGtWM/wly3d_C-Wuw/s1600/Ombeni-Sefue.jpg)
Balozi Sefue aliyasema hayo mara baada ya kutembelea jijini Dar es Salaam juzi, maabara inayokutanisha wataalamu mbalimbali kutoka SErikali na sekta binafsi wanaochambua miradi michache ya afya itakayoingizwa katika mfumo wa utekelezaji wa haraka wa miradi wa BRN.
“Binafsi nimefurahishwa na maeneo ya kipaumbele mnayoendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DmiXLrKF4Lg/VD2AZI-ukCI/AAAAAAAGqg0/0bmxLjkTMjE/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MUHEZA KUPATA MIL 500 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI
Mhe. Makalla alitoa kauli hiyo leo, alipotembelea Wilaya hiyo kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na hali ya huduma ya maji wilayani humo.
“Nawapongeza sana Halmashauri yenu na uongozi wake kwa kununua mashine kwa ajili ya kuchimba visima vya maji, sijawahi kutembelea Wilaya yoyote nchini nikakuta jambo hili. Kitendo cha Halmashauri kukusanya...
10 years ago
Michuzi08 Aug
SERIKALI KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI ITAKAYOWEZESHA KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/157.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/234.jpg)
10 years ago
Habarileo24 Oct
Miradi ya UN nchini yasaidiwa bil. 42/-
SWEDEN imeyapatia mashirika ya Umoja wa Mataifa yaliyopo hapa nchini jumla ya Sh bilioni 42 kusaidia miradi yake ya maendeleo inayofanya Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Mwenge wazindua miradi ya bil. 5.6/-
MIRADI nane yenye thamani ya sh. bilioni 5.6 imetembelewa na kuzinduliwa na mbio za mwenge katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam huku kiongozi wa mbio hizo...
5 years ago
MichuziWAKANDARASI WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MIRADI YA REA KWA WAKATI KUKATWA FEDHA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X9kIkALDIyM/VNpBq1HQfJI/AAAAAAAHC6Q/PcKtH973Z-8/s72-c/001.jpg)
Meya Manispaa ya Kinondoni aagiza Wenyeviti kusimamia Watendaji kutekeleza Miradi
![](http://4.bp.blogspot.com/-X9kIkALDIyM/VNpBq1HQfJI/AAAAAAAHC6Q/PcKtH973Z-8/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tpVmqRkZWd4/VNpBq9p9b0I/AAAAAAAHC6M/67-d_JcY8pg/s1600/002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KJWyn7vRjbI/VNpBqm3ouBI/AAAAAAAHC6I/9UfIJZzWu_4/s1600/003.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SFBmNG-vdA8/VNpBvN9cjxI/AAAAAAAHC6k/4yzQQs93Bng/s1600/004.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kv8V6MVer8k/VNpBvVgv_YI/AAAAAAAHC6g/479e0-HWfJU/s1600/005.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10