WAKANDARASI WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MIRADI YA REA KWA WAKATI KUKATWA FEDHA
KAIMU Mkurugenzi wa Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Amos Maganga kushoto akizungumza wakati wa ziara kufanya tathimini kuona wakandarasi wamefikia hatua gani mpaka sasa wametembelea kwenye kazi walianzia Mkoani Manyara kijiji cha Terati na wapo mkoa wa Tanga katika wilaya ya Mkinga kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya REA Tanzania Julius Kalolo .
Mbunge wa Jimbo la Mkinga (CCM) Dastani Kitandula ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Madini na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziREA YATAKA WAKANDARASI NCHINI KUMALIZA KAZI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KWA WAKATI
10 years ago
MichuziMwijage afanya kikao na wakandarasi wa miradi ya REA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-od-cySumyF4/Xt4z7STP9xI/AAAAAAALtCo/N2rSfIUX4GIJ3e1trZEKiMxz8NGkmFtVQCLcBGAsYHQ/s72-c/226.jpg)
Wahandisi wa Ujenzi Wazalendo lazima wajenge Heshima wakati wa kutekeleza Miradi wanayokabidhiwa -BALOZI SEIF ALI IDDI
Alisema wapo baadhi ya Wataalamu Wazalendo wenye tabia chafu isiyokubalika ya kuwadanganya Viongozi pamoja na Taasisi zilizowakabidhi Miradi ya Ujenzi bila ya kujali kwamba wametia saini Mkataba unaowapa wajibu wa kuutekeleza kwa muda muwafaka.
Balozi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OII46PIbulw/XvCI7XwHESI/AAAAAAALu6E/v0ZwHfmJh_MXFHQ2w9Ab4pFdzJadZXh0gCLcBGAsYHQ/s72-c/12..jpg)
RAIS MAGUFULI AONESHA KUSIKITISHWA NA WATEULE WAKE WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OII46PIbulw/XvCI7XwHESI/AAAAAAALu6E/v0ZwHfmJh_MXFHQ2w9Ab4pFdzJadZXh0gCLcBGAsYHQ/s400/12..jpg)
*Azungumzia vijana kutoridhika kwenye nafasi walizonazo...atoa siri ya Gambo
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amesema huwa anasikitishwa kuona watu ambao wamewapa nafasi na kuwaamini wanashindwa kutekeleza yale ambayo amewatuma kwenda kufanya na badala yake wanakwenda kufanya ya kwao huku akitumia nafasi hiyo kuzungumzia vijana ambao amewapa nafasi lakini hawaridhiki nazo.
Akizungumza leo Juni 22, 2020...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bay6Oe_4yOk/XkqDFZYWPuI/AAAAAAALduE/SqfpE02Q9SEuyLv4c-PUfDqjuX0WVri6QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200216_155130.jpg)
Wakandarasi Watakiwa kuharakisha mradi, kukabidhi kwa wakati
Amesema mradi huo ambao ulianza kutekelezwa mwezi machi mwaka 2018 na kutakiwa kukamilika na kukabidhiwa Mwezi Mei 31 mwaka huu, mradi huu ulitakiwa use umekamilika kwa asilimia 62 %lakini bado unasuasua kwani kwa sasa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B5.jpg)
MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s400/PICHA%2B5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-6-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B5.jpg)
JUNI 30,2020,MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-6-1024x683.jpg)
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z0yJ8g46TXw/VUdxMJ3QnQI/AAAAAAAHVPU/OaXGjkArpsU/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Miradi ya umeme ya REA kutolipiwa fidia
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z0yJ8g46TXw/VUdxMJ3QnQI/AAAAAAAHVPU/OaXGjkArpsU/s640/unnamed%2B(9).jpg)