Miradi ya umeme ya REA kutolipiwa fidia
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z0yJ8g46TXw/VUdxMJ3QnQI/AAAAAAAHVPU/OaXGjkArpsU/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (wa sita kutoka kushoto, mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja Mameneja Tanesco wa mikoa na wilaya katika Nyanda za Juu Kusini Magharibi pamoja na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya REA ya usambazaji umeme vijijini, Awamu ya pili katika kanda hiyo, mara baada ya kumaliza kikao kilicholenga kujadili utekelezaji wa miradi husika. Kulia kwa Naibu Waziri ni Meneja Mwandamizi wa Tanesco Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi, Salome...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
REA: Upatikanaji wa umeme kuongezeka
Na Mwandishi Wetu
KIWANGO cha upatikanaji wa nishati ya umeme kinatarajiwa kupanda hadi asilimia 100 ifikapo mwaka 2030, umesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Meneja Utaalamu Elekezi wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, alisema hayo alipomwakilisha Mkurugenzi wa REA katika ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wataalamu na wajasiriamali wa usambazaji vifaa vya umeme (nishati) itokanayo na mionzi ya jua.
Katika mafunzo hayo yanayomalizika leo katika Hoteli ya Kebis jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
MichuziMwijage afanya kikao na wakandarasi wa miradi ya REA
10 years ago
Habarileo22 May
Wasambaza umeme wa REA wapewa siku 7
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene ametoa muda wa siku saba kwa makandarasi wote nchini wanaotekeleza Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini kuhakikisha wanasimamisha nguzo walizorundika maeneo ya vijijini na bila kufanya hivyo watafutiwa vibali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rPEbsGjM9w/XmnINnzfqNI/AAAAAAAC8Sw/qFGtoFSsHdgl_1WsVIwtiFQGNDv3I60zgCLcBGAsYHQ/s72-c/Vijiji%2B8%252C641%2Bvyafikiwa%2Bna%2Bumeme%2Bwa%2BREA.jpeg)
Vijiji 8,641 vyafikiwa na umeme wa REA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rPEbsGjM9w/XmnINnzfqNI/AAAAAAAC8Sw/qFGtoFSsHdgl_1WsVIwtiFQGNDv3I60zgCLcBGAsYHQ/s400/Vijiji%2B8%252C641%2Bvyafikiwa%2Bna%2Bumeme%2Bwa%2BREA.jpeg)
Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango wakati akitoa Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa mwaka 2019/20 na Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2020/21.
“Katika kipindi cha Julai 2015 hadi Januari 2020, jumla ya shilingi trilioni 1.53 zimetumika katika utekelezaji wa mradi huu...
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Tanesco kushirikiana na REA kupeleka umeme vijijini
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mhangwa Kitwanga, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kayui kata ya Mitundu jimbo la Manyoni magharibi.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
SERIKALI imeliagiza shirika la TANESCO lishirikiane na REA,kufanya usanifu wa kina juu ya gharama halisi ya utoaji wa huduma ya umeme katika kila kijiji nchini ili kuijengea mazingira mazuri serikali iweze kufahamu kiasi cha fedha kitakachokidhi mahitaji.
Agizo hilo limetolewa hivi karibuni na Naibu Waziri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dqMvG5PIThg/VV89LNxP0mI/AAAAAAAHZOE/v2ezYwA1PUI/s72-c/unnamed.jpg)
REA YAENDELEA KUSAMBAZA UMEME VIJIJI VILIVYOBAKI
WAKALA wa nishati vijijini (REA) inaendelea kusambaza umeme katika vijiji vilivyobaki kwa awamu, kupitia mradi kabambe wa umeme vijijini ambao umelenga kuweka umeme maeneo ambayo yalikuwa mbali na huduma hiyo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Edmund Mkwawa wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Mkwawa amesema kuwa mradi huo umeweza kutoa mafunzo na kuwajenga wajasiliamali...
5 years ago
MichuziWANANCHI SINGIDA WATAKIWA KUCHANGAMKIA UMEME WA REA.
Mashimo ya nguzo yakichimbwa.
Upitiaji wa nyaraka za mradi huo ukifanyika.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LszCflKckDY/XvMgyAyL0qI/AAAAAAAAlRk/e2_5Uswy9J4368p9tgYFeAamY1aHhNfbQCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Mjumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REA) Henry Mwimbe (kushoto) akipitia nyaraka baada ya kukagua mradi wa usambazaji umeme REA II unaoendelea katika wilaya za Iramba, Mkalama, Ikungi na Singida DC. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa REA, Mhandisi Elineema Mkumbo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-HLlDBPARZ2A/XvMgyOIBKMI/AAAAAAAAlRg/fmF0bW1IHAMBEB8vNM4g_kuKkGExT2ynACLcBGAsYHQ/s640/2.png)
Mhandisi Julius Saady kutoka Kampuni ya Kateth Desco Dynamic Engineering Project Cordinator inayotekeleza mradi huo, akizungumzia hatua...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Waliopata umeme wa Rea kwa rushwa kuanza kuchunguzwa
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEJIPANGA KUONDOA KASORO ZILIZOJITOKEZA KWENYE MIRADI YA REA-MGALU
Ayasema hayo,Februari 26,2020, wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kiromba,Kata ya Kiromba,Wilaya ya Mtwara vijiji,Mkoani Mtwara,kabla ya kuwasha umeme kwenye kijiji hicho.
Amezitaja baadhi kasoro hizo nia pamoja na baadhi ya wakandarasi kupewa maeneo makubwa ya...