Tanesco kushirikiana na REA kupeleka umeme vijijini
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mhangwa Kitwanga, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kayui kata ya Mitundu jimbo la Manyoni magharibi.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
SERIKALI imeliagiza shirika la TANESCO lishirikiane na REA,kufanya usanifu wa kina juu ya gharama halisi ya utoaji wa huduma ya umeme katika kila kijiji nchini ili kuijengea mazingira mazuri serikali iweze kufahamu kiasi cha fedha kitakachokidhi mahitaji.
Agizo hilo limetolewa hivi karibuni na Naibu Waziri wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziREA YATAKA WAKANDARASI NCHINI KUMALIZA KAZI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KWA WAKATI
10 years ago
MichuziREA KUHUSISHA SEKTA BINAFSI PAMOJA NA BENKI NCHINI ILI KUONGEZA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI
Hatua hiyo itasaidia kuleta maendeleo ya haraka na kufikisha umeme katika maeneo ya vijijini katika maeneo mengi hapa nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava wakati akiongea katika kikao kilichohusisha Bodi ya Wakala wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fF26g4OBHLg/XkkmSopY9BI/AAAAAAABzBM/njqcjJhMNq4-jgJtBWaXkEh2zOc_Qm6JQCLcBGAsYHQ/s72-c/ome2.jpg)
BAADA YA KUFIKISHA UMEME VIJIJINI TANESCO YAZIDISHA KAMPENI YA KUWAHAMASISHA WANAVIJIJI KUCHANGAMKIA FURSA HIYO
SHIRIKA la umeme Tanzania TANESCO kupitia idara ya masoko imeanza zoezi la kutoa elimu kwa wananchi wa wilaya na vijiji vya mkoa wa Tabora.Lengo la utoaji huo wa elimu ni kuwaelimisha wananchi wanaopitiwa na mradi wa REA awamu ya tatu(REAIII) kufahamu taratibu za kuunganishiwa umeme pamoja kuchangamkia fursa za mradi kabla hazijaisha. Miongoni mwa wilaya ambazo tayari zimepitiwa na na sasa ziko kenye zoezi hilo la kupatiwa elimu ni wilaya ya Uyui, Sikonge, na baadae zitafuatiwa na wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hKBDXIBXIg0/Xu8sP4WeCwI/AAAAAAALu0Q/ZEOLJJluSycZE6ZEAN_ubka3BbKvdaj6wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200619_103933_5.jpg)
MKANDARASI AAGIZWA KUPELEKA TAARIFA YA UTEKELEZAJI MRADI KWA BODI YA REA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hKBDXIBXIg0/Xu8sP4WeCwI/AAAAAAALu0Q/ZEOLJJluSycZE6ZEAN_ubka3BbKvdaj6wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200619_103933_5.jpg)
Na Woinde Shizza,ARUSHA
MKANDARASI anayetekeleza mradi wa Wakala wa...
11 years ago
Michuzi30 Apr
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
REA: Upatikanaji wa umeme kuongezeka
Na Mwandishi Wetu
KIWANGO cha upatikanaji wa nishati ya umeme kinatarajiwa kupanda hadi asilimia 100 ifikapo mwaka 2030, umesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Meneja Utaalamu Elekezi wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, alisema hayo alipomwakilisha Mkurugenzi wa REA katika ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wataalamu na wajasiriamali wa usambazaji vifaa vya umeme (nishati) itokanayo na mionzi ya jua.
Katika mafunzo hayo yanayomalizika leo katika Hoteli ya Kebis jijini Dar es Salaam,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rPEbsGjM9w/XmnINnzfqNI/AAAAAAAC8Sw/qFGtoFSsHdgl_1WsVIwtiFQGNDv3I60zgCLcBGAsYHQ/s72-c/Vijiji%2B8%252C641%2Bvyafikiwa%2Bna%2Bumeme%2Bwa%2BREA.jpeg)
Vijiji 8,641 vyafikiwa na umeme wa REA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rPEbsGjM9w/XmnINnzfqNI/AAAAAAAC8Sw/qFGtoFSsHdgl_1WsVIwtiFQGNDv3I60zgCLcBGAsYHQ/s400/Vijiji%2B8%252C641%2Bvyafikiwa%2Bna%2Bumeme%2Bwa%2BREA.jpeg)
Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango wakati akitoa Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa mwaka 2019/20 na Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2020/21.
“Katika kipindi cha Julai 2015 hadi Januari 2020, jumla ya shilingi trilioni 1.53 zimetumika katika utekelezaji wa mradi huu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z0yJ8g46TXw/VUdxMJ3QnQI/AAAAAAAHVPU/OaXGjkArpsU/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Miradi ya umeme ya REA kutolipiwa fidia
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z0yJ8g46TXw/VUdxMJ3QnQI/AAAAAAAHVPU/OaXGjkArpsU/s640/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Habarileo22 May
Wasambaza umeme wa REA wapewa siku 7
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene ametoa muda wa siku saba kwa makandarasi wote nchini wanaotekeleza Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini kuhakikisha wanasimamisha nguzo walizorundika maeneo ya vijijini na bila kufanya hivyo watafutiwa vibali.