REA YATAKA WAKANDARASI NCHINI KUMALIZA KAZI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KWA WAKATI
Mjumbe wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Henry Mwimbe (kulia) akikagua vifaa vya ujenzi wa umeme vya mradi huo.
Mjumbe wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Henry Mwimbe (kushoto) akikagua vifaa vya ujenzi wa Umeme vya mradi wa Kampuni ya kusambaza Umeme ya Ccce Co Ltd inayo sambaza umeme vijiji vya Wembere na Ntwike wilayani Iramba mkoani Singida. Kulia ni Wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Raia wa China Wafanyakazi wa kampuni hiyo wanao tekeleza mradi huo.
Majadiliano kabla ya kwenda kukagua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Serikali yaitaka Spencon kumaliza kazi ya usambazaji umeme vijijini kwa muda sahihi
Msafara wa Naibu Waziri Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani ukikagua ujenzi wa kituo kipya cha mjini Singida cha kutawanya umeme kilovoti 400 wa gridi kutoka nchini Kenya na Tanzania. Kituo hicho kitasambaza umeme kutoka Singida kwenda mkoa wa Iringa na Shinyanga.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (wa kwanza kushoto mwenye miwani) akizungumza na maafisa kutoka ofisi na madini kanda ya kati mkoa wa Singida na wa wilaya ya Manyoni, kwenye ofisi ya Mkuu wa wa wilaya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--P7kpdDze-s/XnSuK6ywIII/AAAAAAALkiA/FoaiOIN1wM8TekP7k27mDNABEUGqmx3IACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAKANDARASI MRADI WA UMEME WA PERI-URBAN WATAKIWA KUMALIZA KAZI MWEZI JUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/--P7kpdDze-s/XnSuK6ywIII/AAAAAAALkiA/FoaiOIN1wM8TekP7k27mDNABEUGqmx3IACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NgWNnNW8q4Q/XnSuKJqiYZI/AAAAAAALkh8/CjR5gN8CMEkQALETAzACNLra640TWvBYQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Hafsa Omar-DodomaWAKANDARASI wanaotekeleza mradi wa umeme pembezoni mwa...
5 years ago
MichuziWAKANDARASI WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MIRADI YA REA KWA WAKATI KUKATWA FEDHA
10 years ago
MichuziREA KUHUSISHA SEKTA BINAFSI PAMOJA NA BENKI NCHINI ILI KUONGEZA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI
Hatua hiyo itasaidia kuleta maendeleo ya haraka na kufikisha umeme katika maeneo ya vijijini katika maeneo mengi hapa nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava wakati akiongea katika kikao kilichohusisha Bodi ya Wakala wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dqMvG5PIThg/VV89LNxP0mI/AAAAAAAHZOE/v2ezYwA1PUI/s72-c/unnamed.jpg)
REA YAENDELEA KUSAMBAZA UMEME VIJIJI VILIVYOBAKI
WAKALA wa nishati vijijini (REA) inaendelea kusambaza umeme katika vijiji vilivyobaki kwa awamu, kupitia mradi kabambe wa umeme vijijini ambao umelenga kuweka umeme maeneo ambayo yalikuwa mbali na huduma hiyo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Edmund Mkwawa wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Mkwawa amesema kuwa mradi huo umeweza kutoa mafunzo na kuwajenga wajasiliamali...
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Tanesco kushirikiana na REA kupeleka umeme vijijini
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mhangwa Kitwanga, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kayui kata ya Mitundu jimbo la Manyoni magharibi.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
SERIKALI imeliagiza shirika la TANESCO lishirikiane na REA,kufanya usanifu wa kina juu ya gharama halisi ya utoaji wa huduma ya umeme katika kila kijiji nchini ili kuijengea mazingira mazuri serikali iweze kufahamu kiasi cha fedha kitakachokidhi mahitaji.
Agizo hilo limetolewa hivi karibuni na Naibu Waziri wa...
9 years ago
MichuziDkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-khdrmxpc_Vo/Xqp52dPfAEI/AAAAAAALonc/TFEPUabPp-kG9goIoTTxkcRZXQZQOa28ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWfzptwq7rgEgMNdHTNxmdKzB8SG-k322AJ3LRKAygTCf9*1Val8*ZJpAAKIOxpjY0o1ytPAxB605--nawNpeJu/image.jpg?width=650)
MKAPA AWATAKA WAKANDARASI NCHINI KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI