Serikali yaitaka Spencon kumaliza kazi ya usambazaji umeme vijijini kwa muda sahihi
Msafara wa Naibu Waziri Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani ukikagua ujenzi wa kituo kipya cha mjini Singida cha kutawanya umeme kilovoti 400 wa gridi kutoka nchini Kenya na Tanzania. Kituo hicho kitasambaza umeme kutoka Singida kwenda mkoa wa Iringa na Shinyanga.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (wa kwanza kushoto mwenye miwani) akizungumza na maafisa kutoka ofisi na madini kanda ya kati mkoa wa Singida na wa wilaya ya Manyoni, kwenye ofisi ya Mkuu wa wa wilaya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziREA YATAKA WAKANDARASI NCHINI KUMALIZA KAZI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KWA WAKATI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s72-c/2-2-2.jpg)
DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s640/2-2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3AAA-4-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4AAA-3.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper29 Jan
Mwijage: Siridhishwi na mradi wa usambazaji umeme vijijini
Na Happiness Mtweve,Dodoma
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, amesema haridhishwi na utekelezaji wa mradi wa usambazaji wa umeme vijijini.
Mwijage, ambaye alikaa ofisini kwa siku tatu baada ya kuteuliwa, alisema hayo jana wakati akijibu maswali ya nyongeza ya mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby.
Alisema mpaka sasa utekelezaji wa usambazaji umeme katika mkoa wa Manyara ni asilimia sita, Pwani asilimia 22 na Kagera asilimia 52, kasi ambayo bado ni ndogo.
Mwijage alisema...
10 years ago
MichuziREA KUHUSISHA SEKTA BINAFSI PAMOJA NA BENKI NCHINI ILI KUONGEZA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI
Hatua hiyo itasaidia kuleta maendeleo ya haraka na kufikisha umeme katika maeneo ya vijijini katika maeneo mengi hapa nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava wakati akiongea katika kikao kilichohusisha Bodi ya Wakala wa...
11 years ago
Habarileo20 Jul
Serikali yavuka lengo usambazaji umeme
SERIKALI imekiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuipangia upya malengo ya kusambaza umeme kwa wananchi kwa sababu malengo yaliyopangwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 yamefikiwa na kupitwa hata kabla ya kumalizika kipindi cha miaka mitano.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s72-c/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
WANANCHI KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA GHARAMA NAFUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s400/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
CCM Blog, Kigoma
SHIRIKA la Umeme Tanesco kupitia idara yake ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma kuchangamkia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali mkoani hapa.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jJrP9XILtDE/XvWlxJY9JVI/AAAAAAAAAH8/nrRU5ggDCloYApAZ9fDBcxd-vsRbmkELgCLcBGAsYHQ/s72-c/afisa2.jpg)
WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii imewafikia wanakijiji wa vijiji vya Kigoma ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Mkandarasi wa usafirishaji umeme atakiwa kumaliza kazi ifikapo Aprili 2016.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (kushoto) akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dodoma kabla ya kuanza ziara ya kukagua miundombinu ya usafirishaji umeme, miradi ya umeme vijijini pamoja na shughuli za uchimbaji wa madini mkoani humo. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa kwanza kulia) akizungumza na Meneja Mradi Ujenzi wa vituo vya kupoozea umeme katika mradi wa Miundombinu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--P7kpdDze-s/XnSuK6ywIII/AAAAAAALkiA/FoaiOIN1wM8TekP7k27mDNABEUGqmx3IACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAKANDARASI MRADI WA UMEME WA PERI-URBAN WATAKIWA KUMALIZA KAZI MWEZI JUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/--P7kpdDze-s/XnSuK6ywIII/AAAAAAALkiA/FoaiOIN1wM8TekP7k27mDNABEUGqmx3IACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NgWNnNW8q4Q/XnSuKJqiYZI/AAAAAAALkh8/CjR5gN8CMEkQALETAzACNLra640TWvBYQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Hafsa Omar-DodomaWAKANDARASI wanaotekeleza mradi wa umeme pembezoni mwa...