Mkandarasi wa usafirishaji umeme atakiwa kumaliza kazi ifikapo Aprili 2016.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (kushoto) akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dodoma kabla ya kuanza ziara ya kukagua miundombinu ya usafirishaji umeme, miradi ya umeme vijijini pamoja na shughuli za uchimbaji wa madini mkoani humo. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa kwanza kulia) akizungumza na Meneja Mradi Ujenzi wa vituo vya kupoozea umeme katika mradi wa Miundombinu ya...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dqeF1zPoYww/VoiOL8C83yI/AAAAAAAIP_s/rFjE_6F4kXs/s72-c/acb4cb83-7e8a-4b48-b4ab-950ff1496751.jpg)
Mkandarasi wa miundombinu ya usafirishaji umeme atakiwa kumaliza kazi ifikapo Aprili 2016.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mkandarasi atakiwa kumaliza barabara kwa wakati
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amemtaka mkandarasi Kampuni ya J.V anayejenga barabara ya Makutano-Nyamuswa-Ikoma Gate, sehemu ya Makutano-Natta kilomita 50, kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha mradi huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-khdrmxpc_Vo/Xqp52dPfAEI/AAAAAAALonc/TFEPUabPp-kG9goIoTTxkcRZXQZQOa28ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--P7kpdDze-s/XnSuK6ywIII/AAAAAAALkiA/FoaiOIN1wM8TekP7k27mDNABEUGqmx3IACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAKANDARASI MRADI WA UMEME WA PERI-URBAN WATAKIWA KUMALIZA KAZI MWEZI JUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/--P7kpdDze-s/XnSuK6ywIII/AAAAAAALkiA/FoaiOIN1wM8TekP7k27mDNABEUGqmx3IACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NgWNnNW8q4Q/XnSuKJqiYZI/AAAAAAALkh8/CjR5gN8CMEkQALETAzACNLra640TWvBYQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Hafsa Omar-DodomaWAKANDARASI wanaotekeleza mradi wa umeme pembezoni mwa...
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Serikali yaitaka Spencon kumaliza kazi ya usambazaji umeme vijijini kwa muda sahihi
Msafara wa Naibu Waziri Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani ukikagua ujenzi wa kituo kipya cha mjini Singida cha kutawanya umeme kilovoti 400 wa gridi kutoka nchini Kenya na Tanzania. Kituo hicho kitasambaza umeme kutoka Singida kwenda mkoa wa Iringa na Shinyanga.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (wa kwanza kushoto mwenye miwani) akizungumza na maafisa kutoka ofisi na madini kanda ya kati mkoa wa Singida na wa wilaya ya Manyoni, kwenye ofisi ya Mkuu wa wa wilaya...
5 years ago
MichuziREA YATAKA WAKANDARASI NCHINI KUMALIZA KAZI YA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI KWA WAKATI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yjjke11COdo/XkWGfaDhM9I/AAAAAAABKc0/4cQB69w_HGU5muWYZsilKoaNcGtKt56uwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0102.jpg)
MKANDARASI UJENZI WA MRADI WA MAJI MKURANGA ATAKIWA KUPUNGUZA GHARAMA
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amewaagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kukaa chini na mkandarasi anayejenga mradi wa maji Mkuranga kupunguza gharama za ujenzi
Hayo yamesemwa wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya maji katika wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani. Katika ziara hiyo pia ameambatana na Mbunge wa Jimbo hilo Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega pamoja na wataalamu wa maji.
Mbarawa amesema, Dawasa wakae...
9 years ago
MichuziTGDC YATARAJIA KUZALISHA UMEME MEGAWATI 200 IFIKAPO 2020.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YSWxClSjAbA/VUI2xhGRjSI/AAAAAAAHUTY/AbftFuHcGxA/s72-c/6.jpg)
IFIKAPO MACHI MWAKANI TATIZO LA UMEME JIJINI DAR ES SALAAM LITAKUWA HISTORIA
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na Madini,George Simbachawene katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme ya Kurasini, Mbagala pamoja na Kinyerezi jijini Dar es Salaam leo.
Ziara hiyo iliyoanzia katika mitambo ya Umeme ya Wizarani hapo na kuelekea,Kurasini na Mbagala ikiwa na lengo la...