IFIKAPO MACHI MWAKANI TATIZO LA UMEME JIJINI DAR ES SALAAM LITAKUWA HISTORIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-YSWxClSjAbA/VUI2xhGRjSI/AAAAAAAHUTY/AbftFuHcGxA/s72-c/6.jpg)
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii. IFIKAPO machi mwakani tatizo la umeme jijini Dar es Salaam itakuwa historia kutokana na kukamilika kwa miundombinu ya mitambo ya umeme ifikapo machi mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na Madini,George Simbachawene katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme ya Kurasini, Mbagala pamoja na Kinyerezi jijini Dar es Salaam leo.
Ziara hiyo iliyoanzia katika mitambo ya Umeme ya Wizarani hapo na kuelekea,Kurasini na Mbagala ikiwa na lengo la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Mar
‘Ifikapo Juni tatizo la maji Dar litakuwa historia’
NAIBU Waziri wa Maji, Amosi Makala ametamba kuwa kufikia Juni mwaka huu tatizo la upatikanaji wa maji kwa mkoa wa Dar es Salaam litakuwa historia.
10 years ago
Habarileo24 Sep
Tatizo la umeme Dar kuwa historia
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesisitiza kwamba ifikapo Agosti mwakani, hakutakuwa na tatizo la umeme katika Jiji la Dar es Salaam. Pia, limesema taasisi ambazo zilikuwa miongoni mwa wadaiwa sugu, zimeendelea kulipa na kulifanya liendelee vizuri.
11 years ago
Habarileo12 Jan
Dar maji bwelele ifikapo Machi
WAKAZI wa Jiji la Dar es Salaam wanatarajiwa kuondokana na tatizo la upatikanaji wa maji safi kwa asilimia 90 kuanzia Machi baada ya kukamilika kwa ujenzi wa bomba la Ruvu Chini na mtambo wa maji ulioko Bagamoyo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s72-c/download+(2).jpg)
mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini dar es salaam kuanza kutoa huduma mapema mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s1600/download+(2).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_arPARyx-Vk/XlOqPJdq7lI/AAAAAAALe_o/qfOGUYIKezMetCfhilaQh_Yj3qaKtd8gQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d17d89c-8de1-4eff-bf20-1b01fd79a45e.jpg)
MASHINDANO YA GOFU YA TANAPA LUGALO OPEN KUFANYIKA MACHI 14 NA 15 JIJINI DAR ES SALAAM.
Mwenyekiti wa Klabu ya Gofu ya Lugalo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo ametangaza mashindano ya Tanapa Lugalo Open yanatarajiwa kufanyika Machi 14 na 15 Mwaka huu katika Viwanja vya Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Mwandishi wa hbari hizi Mwenyekiti huyo alisema masindano hayo yalikuwa yafanyike February 29 na Machi Mosi lakini kutokana na baadhi ya Maandalizi kutokamilika imelazimu sasa kusogeza mbele.
“ Tumesogeza mbele ili kutoa fursa ya...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI NA UTAMBULISHO WA SHIRIKA LA SAVE VULNERABLE FOUNDATION WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO MACHI 3,2015
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/crcpwtXj4DA/default.jpg)
10 years ago
GPLUZINDUZI NA UTAMBULISHO WA SHIRIKA LA SAVE VULNERABLE FOUNDATION WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO MACHI 3,2015
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mradi wa TEDAP kutatua changamoto za upatikanaji wa umeme Jijini Dar es Salaam
Meneja wa Miradi, Usambazaji na Usafirishaji kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Emmanuel Manderabona akiwaonesha waandishi wa habari mfumo wa usambazaji umeme kwenye Moja kituo cha Mradi “Tanzania Energy Development and Access Program (TEDAP)” unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, kilichopo Mbagalakitakachozalishamegawatt 100 za umeme,kituo hiki kinatarajiwa kuanza kutoa huduma za umeme wa uhakika kwa wakazi wa maeneo ya Kurasini, Kigamboni, Mbagala na Maeneo ya Mkuranga kuanzia Mwezi...