mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini dar es salaam kuanza kutoa huduma mapema mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s72-c/download+(2).jpg)
Na Frank Mvungi- Maelezo
Serikali inatarajia kuanza kutoa huduma za awali (interim services) katika mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) Kutoka Kimara mwisho hadi Kivukoni jijini Dar es salaam mwaka 2015 baada ya miundombinu yake kukamilika.
Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa Wakala wa mabasi yaendayo haraka (DART) Bw.William Gatambi wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bw. Gatambi alisema kuwa mara baada ya kukamilika kwa miundo mbinu ya mradi huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yJAGhtU4gAs/Vf6bOiCejDI/AAAAAAAH6Rk/QXlbDbF8TM8/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam
9 years ago
Michuzisehemu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es salaam - UDART
Picha zote na Abraham Nyantori - MAELEZO
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Mabasi yaendayo haraka kuanza kujaribiwa leo Agosti 17 jijini Dar kwa vituo 10
Mabasi mawili yaliyoletwa nchini kwa ajili ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kama yanavyoonekana ambapo leo yanatarajia kuanza kwa safari ya majaribio katika baadhi ya vituo ikianzia Kimara mwisho hadi Posta. Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wanatarajia kuonja usafiri huo ambao ni majaribio huku wahusika wakieleza kuwa watakuwa na muda muafaka wa kutoa elimu kwa watumiaji wa usafiri huo mpaka hapo watakapouzoea.
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam). Asubuhi ya leo mabasi yaendayo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vLCpxRBQ5XE/VnVFu7HMa_I/AAAAAAAINYo/vgUXJFmOqOQ/s72-c/IMG_8767.jpg)
MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (DART) KUANZA JANUARI 10, 2016.
Pia Majaliwa amewaagiza watendaji wizara ya Tamisemi ambao ni wamiliki wa mradi huo kusimamia vyema ili uanze kufanya kazi kama ilivyo pangwa kwa kuwa mabasi 120 yalishawasili jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu ameanza kwa kukagua vituo vya mradi huo kuanzia cha Feri, Jangwani,...
11 years ago
Dewji Blog06 May
DART kuanza kutoa huduma mapema mwakani
Meneja Uhusiano Mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) Bw. William Gatambi (kushoto) akiwaeleza waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo kuhusu maendeleo ya mradi huo ambao awamu ya kwanza itakamilika mwishoni wa mwaka huu. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi.
Na Frank Mvungi- Maelezo
Serikali inatarajia kuanza kutoa huduma za awali (interim services) katika mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) Kutoka Kimara mwisho...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_uYNo1OPj3Y/VTy_ztdGGbI/AAAAAAAHTXM/JF0MphHSbEM/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
NEWS ALERT: BRT mbioni kuanza kipindi cha mpito baada ya wadau kukubaliana kuanza huduma ya mabasi ya haraka Dar es salaam
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TWGMXTz0OeA/U0FqL5SyRaI/AAAAAAAFY1g/xBzQzkwB6YU/s72-c/d1.jpg)
updates: Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-TWGMXTz0OeA/U0FqL5SyRaI/AAAAAAAFY1g/xBzQzkwB6YU/s1600/d1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gIQ3MA0PI-w/U0FqOuDIUfI/AAAAAAAFY1o/eaX0wDcKz0Y/s1600/d2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoPzw9rFbeE/U0FqTTKOpmI/AAAAAAAFY1w/GdzKMQQ_rEU/s1600/d3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cD4694Q5WXU/U0FqVj3ShpI/AAAAAAAFY14/TiHF3wesqD4/s1600/d4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FC97P5wsUvI/U0FqXJLd0EI/AAAAAAAFY2A/cs0ygwxzszg/s1600/d5.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mabasi yaendayo kasi kuanza kutoa huduma
WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)