DART kuanza kutoa huduma mapema mwakani
Meneja Uhusiano Mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) Bw. William Gatambi (kushoto) akiwaeleza waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo kuhusu maendeleo ya mradi huo ambao awamu ya kwanza itakamilika mwishoni wa mwaka huu. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi.
Na Frank Mvungi- Maelezo
Serikali inatarajia kuanza kutoa huduma za awali (interim services) katika mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) Kutoka Kimara mwisho...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s72-c/download+(2).jpg)
mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini dar es salaam kuanza kutoa huduma mapema mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s1600/download+(2).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xhUffHNHQnI/Ux8T-7evATI/AAAAAAAFS3U/F_rhWquwZSY/s72-c/unnamed+(16).jpg)
Mabasi machache kuanza kutoa huduma kabla ya awamu ya kwaza kuisha - DART
![](http://1.bp.blogspot.com/-xhUffHNHQnI/Ux8T-7evATI/AAAAAAAFS3U/F_rhWquwZSY/s1600/unnamed+(16).jpg)
Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo aaraka (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa (DART), Bi. Asteria Mlambo aliwambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibu kuwa utekelezaji wa awamu ya kwanza unaendelea vizuri na kabla ya kukamirika hapo mwakani,kutakuwa na mabasi machache...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Vo2yc47_TA/VdLnAlFXeUI/AAAAAAAHx9Y/rtqGIa06_fo/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Dk Massaburi afurahia kuanza kwa huduma ya mabasi ya DART jijini Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Vo2yc47_TA/VdLnAlFXeUI/AAAAAAAHx9Y/rtqGIa06_fo/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qZ9WqkUXq4w/VdLnAyU1vSI/AAAAAAAHx9c/HM4DyE5g_X4/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jsD5bW_xbBs/VdLnBrRAGuI/AAAAAAAHx90/Av0iTdZ1-rU/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Dec
SHULE YA AWALI YA ABEL MEMORIAL NURSERY AND PRIMARY SCHOOL SASA KUANZA KUTOA ELIMU YA MSINGI MWAKANI, MAHAFALI YAO YAFANA
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
MV Kigamboni kuanza kutoa huduma leo
HATIMAYE kivuko cha MV Kigamboni kinatarajiwa kuanza kutoa huduma rasmi leo kwa wakazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kuteseka kwa takribani wiki mbili wakati kilipokuwa kwenye matengenezo....
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
TRA kuanza kutoa huduma mpya Tunduma
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), kitengo cha Ushuru na Forodha, leo wanatarajiwa kuanza kutoa huduma ya kuvushwa mizigo katika mpaka Tunduma kwa kutumia mfumo mpya ujulikanao kwa jina la (TANCIS),...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mabasi yaendayo kasi kuanza kutoa huduma
WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Bandari ya D’ Salaam kuanza kutoa huduma saa 24 kesho
9 years ago
MichuziCosota, CMEA kuanza kulipa mirahaba kwa wanamuziki kuanza Januari mwakani