MV Kigamboni kuanza kutoa huduma leo
HATIMAYE kivuko cha MV Kigamboni kinatarajiwa kuanza kutoa huduma rasmi leo kwa wakazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kuteseka kwa takribani wiki mbili wakati kilipokuwa kwenye matengenezo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni jana jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
Mtendaji Mkuu Temesa Injinia Marceline Magesa akitoa neno la shukrani kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
MV Kigamboni kusimama kwa matengenezo, MV Magogoni na MV Lami zikiendelea kutoa huduma
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) anawatangazia wananchi wote kuwa kivuko cha MV. Kigamboni kinatarajiwa kwenda kwenye matengenezo makubwa wakati wowote kuanzia siku ya jana.
Hivyo huduma za uvushaji zitaendelea kwa kutumia vivuko vya MV. Magogoni pamoja na MV. Lami katika kipindi chote cha matengenezo husika.
Uongozi wa TEMESA unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakao jitokeza.
Imetolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu
TEMESA. ...
11 years ago
Dewji Blog06 May
DART kuanza kutoa huduma mapema mwakani
Meneja Uhusiano Mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) Bw. William Gatambi (kushoto) akiwaeleza waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo kuhusu maendeleo ya mradi huo ambao awamu ya kwanza itakamilika mwishoni wa mwaka huu. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi.
Na Frank Mvungi- Maelezo
Serikali inatarajia kuanza kutoa huduma za awali (interim services) katika mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) Kutoka Kimara mwisho...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
TRA kuanza kutoa huduma mpya Tunduma
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), kitengo cha Ushuru na Forodha, leo wanatarajiwa kuanza kutoa huduma ya kuvushwa mizigo katika mpaka Tunduma kwa kutumia mfumo mpya ujulikanao kwa jina la (TANCIS),...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mabasi yaendayo kasi kuanza kutoa huduma
WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Bandari ya D’ Salaam kuanza kutoa huduma saa 24 kesho
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xhUffHNHQnI/Ux8T-7evATI/AAAAAAAFS3U/F_rhWquwZSY/s72-c/unnamed+(16).jpg)
Mabasi machache kuanza kutoa huduma kabla ya awamu ya kwaza kuisha - DART
![](http://1.bp.blogspot.com/-xhUffHNHQnI/Ux8T-7evATI/AAAAAAAFS3U/F_rhWquwZSY/s1600/unnamed+(16).jpg)
Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo aaraka (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, mwaka huu kutakuwa na mabasi machache ambayo yataanza kutoa huduma ya usafiri kutoka Kimara hadi Kivukoni.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa (DART), Bi. Asteria Mlambo aliwambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibu kuwa utekelezaji wa awamu ya kwanza unaendelea vizuri na kabla ya kukamirika hapo mwakani,kutakuwa na mabasi machache...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s72-c/download+(2).jpg)
mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini dar es salaam kuanza kutoa huduma mapema mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s1600/download+(2).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9zxJue1SO3c/VL9c4ekOR1I/AAAAAAAG-m0/qF8caV9ZbXc/s72-c/4.jpg)
DALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-9zxJue1SO3c/VL9c4ekOR1I/AAAAAAAG-m0/qF8caV9ZbXc/s1600/4.jpg)
Wakazi wa maeneo mengi ya jiji hilo wanalazimika kutembea kwa miguu,huku wengine wenye uwezo kidogo wakitumia usafiri wa bodaboda ili kuwahi katika shughuli zao za kuendelea kujitafutia chochote.Askari Polisi na migambo wamesambaa kona za njia zote jijini Arusha.
Route zenye...