DALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-9zxJue1SO3c/VL9c4ekOR1I/AAAAAAAG-m0/qF8caV9ZbXc/s72-c/4.jpg)
Waendesha Daladala jijini Arusha,leo wamefanya mgomo wa kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo mbali mbali ya mji huo kwa kile kinachodaiwa kugomea kuanzishwa kwa route mpya wanayotakiwa kuianza hivi sasa.
Wakazi wa maeneo mengi ya jiji hilo wanalazimika kutembea kwa miguu,huku wengine wenye uwezo kidogo wakitumia usafiri wa bodaboda ili kuwahi katika shughuli zao za kuendelea kujitafutia chochote.Askari Polisi na migambo wamesambaa kona za njia zote jijini Arusha.
Route zenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMADEREVA DALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO
11 years ago
Michuzimadereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo
10 years ago
Habarileo23 Jan
Daladala zarejesha huduma Arusha
DALADALA zilizokuwa zimegoma kutoa huduma za usafiri maeneo mbalimbali jijini Arusha, zimerejea kutoa huduma zake huku nyingine zikionekana kuweka alama za mstari maalum za kuonesha njia walizopangiwa kupita.
11 years ago
MichuziNEWZZ ALERT:STENDI KUU YA MABASI MOSHI,WAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA
11 years ago
Habarileo18 Feb
Daladala wagoma
WANANCHI jijini Mwanza jana walikumbana na adha ya usafiri baada ya madereva wa daladala kugoma bila taarifa kwa madai kuwa wamekuwa wakisababishiwa kero ya faini ya Polisi wa Usalama Barabarani pamoja na kupinga kituo kipya cha daladala kilichopo eneo la Buzuruga.
11 years ago
Mwananchi20 May
Madereva wa daladala za Tegeta wagoma
10 years ago
GPLMGOMO WA WAENDESHA DALADALA JIJINI MWANZA LEO
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-h1CirQJksx0/VdsB_prjcrI/AAAAAAAAt04/vD4Z3md0MGA/s72-c/MMGL1447.jpg)
LOWASSA NDANI YA DALADALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-h1CirQJksx0/VdsB_prjcrI/AAAAAAAAt04/vD4Z3md0MGA/s640/MMGL1447.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Daladala wagoma Iringa,nauli zapaa