Daladala wagoma Iringa,nauli zapaa
Madereva wa daladala zinazofanya safari zake katika maeneo ndani ya Manispaa ya Iringa wamegoma kutos huduma hiyo wakishinikiza Serikali kuzizuia pikipiki za miguu mitatu (Bajaji) kusafirisha abiria kama ilivyo kwa daladala.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Wapendekeza nauli za daladala zipunguzwe
11 years ago
CloudsFM04 Jun
NAULI ZA DALADALA KUPANDA TENA
HATIMAYE picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka kati ya Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.
Kwa wanafunzi, nauli kwa ruti moja kwenda katika vituo hivyo vikubwa katika mradi huo ambao utaanza kwa majaribio mwishoni mwa mwaka huu, zitapanda kutoka Sh...
11 years ago
Habarileo04 Jun
Nauli daladala Dar kupanda
HATIMAYE picha halisi ya gharama ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, imeonesha nauli ya basi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwenda na kurudi vituo vikubwa vikiwemo vya Kariakoo na Posta, itapanda kutoka nauli ya chini ya Sh 400 ya sasa mpaka kati ya Sh 700 na Sh 800 kwa ruti moja.
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Madereva wagoma Ilemela, kisa polisi kushusha nauli
11 years ago
Habarileo18 Feb
Daladala wagoma
WANANCHI jijini Mwanza jana walikumbana na adha ya usafiri baada ya madereva wa daladala kugoma bila taarifa kwa madai kuwa wamekuwa wakisababishiwa kero ya faini ya Polisi wa Usalama Barabarani pamoja na kupinga kituo kipya cha daladala kilichopo eneo la Buzuruga.
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Kiwango cha nauli za daladala kushuka Dar es Salaam
11 years ago
Mwananchi20 May
Madereva wa daladala za Tegeta wagoma
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0DYdyWdOo99XH49s8gSxFq*6HpoXrmYEwVw97rgn2*1X7WAfMx*TGTgpfR7Ak8Mlwyq33kALkPspCCmZ-YVXKcE/Mrisho1.jpg?width=650)
MRISHO MPOTO ATAFUTA NAULI KWA KUPIGA DEBE KWENYE DALADALA - 4
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MADEREVA DALADALA WAGOMA KWENDA KITUO KIPYA