Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADEREVA DALADALA WAGOMA KWENDA KITUO KIPYA

MADEREVA wa daladala wanaoegesha magari yao eneo la Ubungo, Darajani jirani na njia panda ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamegoma kwenda kituo kipya kilichopo nyuma ya jengo la Mawasiliano Tower. Madereva hao wameamua kuwashambulia wenzao walioonekana kutii amri kwa kuwavunjia vioo vya magari yao jambo lililopelekea polisi kuingilia kati kuwatuliza. Taarifa zaidi zitawajia hivi punde! ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KITUO KIPYA KILICHOSUSIWA NA MADEREVA DALADALA UBUNGO JIJINI DAR

Eneo la kituo kipya kilichopo nyuma ya jengo la Mawasiliano Tower. Wamiliki na madereva wanayofanya safari zake kati ya Ubungo na Mwenge jijini Dar leo wamegomea amri ya kutumia kituo kipya walichoamriwa na serikali kukitumia kilichopo nyuma ya jengo la Mawasiliano Tower, Ubungo jijini Dar. Mwanahabari wetu alitembelea kituo hicho na kukuta mafundi wakiendelea na ujenzi huku kukiwa na marundo ya vifusi. PICHA NA RICHARD BUKOS...

 

11 years ago

Mwananchi

Madereva wa daladala za Tegeta wagoma

Madereva wa daladala zinazofanya safari kati ya Ubungo, Mwenge na Tegeta jana waligoma siku nzima wakitaka kufahamu stendi mbadala baada ya kufungwa ile ya Ubungo kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea.

 

11 years ago

GPL

KIMENUKA MORO, MADEREVA DALADALA WAGOMA KUINGIA BARABARANI

MADEREVA wa daladala Manispaa ya Morogoro wamegoma asubuhi hii wakidai kukamatwa hovyo na matrafiki na hakuna daladala linalofanya safari yoyote katika manispaa hiyo. Madereva hao wanadai wameamua kugoma kutokana na kamatakamata ya askari wa usalama barabarani, ambapo wamesema daladala moja kwa siku linaweza kukamatwa hadi mara nne na wakihoji wanaambiwa ni makosa tofauti. Waliongeza kuwa wamepeleka malalamiko yao ngazi...

 

9 years ago

Mwananchi

Madereva wa Daladala Moro wagoma kwa saa saba

Madereva wa daladala Manispaa ya Morogoro leo waligoma kwa saa saba kutoa huduma za usafirishaji abiria wakishinikiza kutatuliwa kwa changamoto zinazowakabili  sambamba na kuachiwa kwa wenzao wawili waliokamatwa kwa takribani siku sita zilizopita na kutopewa dhamana.

 

11 years ago

Michuzi

madereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo

Wakazi wa Jiji la Mbeya leo wamejikuta wakiwa katika mazingira magumu baada ya mgomo wa mabasi madogo wa kutopakia abiria kutoka stendi kuu jijini humo,wakitaka wabadilishiwe ruti au kuongezewa nauli kwa sababu ya ruti hiyo inawapa mzungunguko mkubwa sana kulinganisha na nauli wanayoichaji kwa abiria hao.hali hiyo imepelekea abiria mbali mbali wa jiji hilo kupanga kwenye pikup na kulipa nauli ile ile wanayolipa kwenye daladala kama ionekanavyo katika picha mbali mbali zilizopigwa na Mpiga...

 

10 years ago

GPL

MADEREVA DALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO

(Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye lori kutokana na mgomo wa daladala. Picha na Maktaba Yetu) MADEREVA Daladala jijini Arusha,leo wamefanya mgomo wa kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo kwa kile kinachodaiwa kugomea kuanzishwa kwa safari mpya wanayotakiwa kuianza hivi sasa. Wakazi wa maeneo mengi ya jiji hilo wanalazimika kutembea kwa miguu, huku wengine wenye uwezo kidogo wakitumia usafiri wa...

 

10 years ago

GPL

KITUO KIPYA CHA DALADALA CHAANZA KAZI DAR

Abiria wakipanda daladala. Askari wa usalaama…

 

11 years ago

Habarileo

Kituo kipya cha daladala Ubungo kuanza mwezi ujao

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda KITUO kipya cha daladala kilichopo eneo la Migombani jirani na jengo la Mawasiliano kitakachochukua nafasi ya kituo cha Ubungo kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika kwa sehemu kubwa.

 

10 years ago

Vijimambo

MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000

Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imedhihirisha jitihada zake za kwenda na wakati katika huduma zake, baada ya kuamua kutoa huduma ya bure ya mtandao wa intrenet wa WiFi kwenye Kituo kipya cha Mabasi cha Sinza, jijini Dar es Salaam.
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani