Madereva wa Daladala Moro wagoma kwa saa saba
Madereva wa daladala Manispaa ya Morogoro leo waligoma kwa saa saba kutoa huduma za usafirishaji abiria wakishinikiza kutatuliwa kwa changamoto zinazowakabili sambamba na kuachiwa kwa wenzao wawili waliokamatwa kwa takribani siku sita zilizopita na kutopewa dhamana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VuOF18pjA2C*7MGWdBfxzjNNHFh4J*7dGTNWXacY1zgI20WPWZLbTdoj*I1ot5ZBqtKU4vqhyGhna2o6bDodR5/BREAKINGNEWS.gif)
KIMENUKA MORO, MADEREVA DALADALA WAGOMA KUINGIA BARABARANI
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2682094/highRes/989515/-/maxw/600/-/qrdi8v/-/mgomo_abiria.jpg)
Baadhi ya madereva na wapigadebe wakiwashusha abiria kwenye gari aina ya Town Hiace iliyokuwa imebeba abiri eneo la Ubungo, wakati madereva wa daladala walipokuwa kwenye mgomo, Dar es Salaam. Picha na Said Khamis
Dar es Salaam. Hali ya taharuki, hekaheka na tafrani ilitanda kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam na mikoani wakati madereva wa mabasi walipofanya mgomo wa takriban saa tisa kuishinikiza Serikali kufuta matumizi ya kanuni mpya za udhibiti...
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Hekaheka: Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
11 years ago
Mwananchi20 May
Madereva wa daladala za Tegeta wagoma
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MADEREVA DALADALA WAGOMA KWENDA KITUO KIPYA
10 years ago
GPLMADEREVA DALADALA WAGOMA KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA LEO
11 years ago
Michuzimadereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Daladala zagoma kwa saa 8
MABASI ya abiria ‘daladala’ yanayofanya safari zake mjini Iringa, jana yaligoma kwa saa 8 na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa Manispaa ya Iringa na viunga vyake. Wakizungumza kwa nyakati tofauti...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Daladala wagoma
WANANCHI jijini Mwanza jana walikumbana na adha ya usafiri baada ya madereva wa daladala kugoma bila taarifa kwa madai kuwa wamekuwa wakisababishiwa kero ya faini ya Polisi wa Usalama Barabarani pamoja na kupinga kituo kipya cha daladala kilichopo eneo la Buzuruga.