Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daladala zagoma kwa saa 8

MABASI ya abiria ‘daladala’ yanayofanya safari zake mjini Iringa, jana yaligoma kwa saa 8 na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa Manispaa ya Iringa na viunga vyake. Wakizungumza kwa nyakati tofauti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Daladala Mwanza zagoma

JIJI la Mwanza jana lilikumbwa na taharuki kubwa, baada ya wamiliki na waendesha daladala wa jiji hilo kugoma kutoa huduma. Mgomo huo ulianza kati ya saa 11 alfajiri hadi saa...

 

9 years ago

Mwananchi

Madereva wa Daladala Moro wagoma kwa saa saba

Madereva wa daladala Manispaa ya Morogoro leo waligoma kwa saa saba kutoa huduma za usafirishaji abiria wakishinikiza kutatuliwa kwa changamoto zinazowakabili  sambamba na kuachiwa kwa wenzao wawili waliokamatwa kwa takribani siku sita zilizopita na kutopewa dhamana.

 

9 years ago

Vijimambo

WATU WAMESHAANZA KUPIGA KURA SAA MOJA ASUBUHI KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI


 Hapa wananchi wakihakiki majina yao kwenye ubao wa kuhakiki  majina hili kupata fursa ya kupiga kuraHapa ni karatasi ya upigaji kura kuanzia ya urais ubunge na udiwani baada ya kuhakiki jina lako unakuja hapa na kukabiziwa karatasi hizi tatu ili kukamirisha  zoezi zima na upigaji kura. Mwanachi akiakiki jina lake kwenye ubao wa majina ya wapigaji kura kituoni hapo
Mabox ma 3 ya kupigia kura kuanzia uraisi ubunge na udiwani.

 

10 years ago

Mtanzania

Mashine za BVR zagoma tena Makambako

Na Michael Mapollu, Makambako
UBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa kielekroniki umeingia dosari baada ya baadhi ya mashine zinazotumika kwa ajili ya kazi hiyo kushindwa kufanya kazi.
Kazi hiyo iliingia dosari jana katika Mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe ikiwa ni siku ya kwanza ya kuanza uandikishaji huo.
Tatizo hilo lilibainika baada ya mashine nyingi zilizopangwa kufanikisha kazi hiyo kutofanya kazi katika baadhi ya vituo vilivyotengwa kwa ajili ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kenya, Nigeria zagoma kuiazima Tanzania BVR

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema ofisi yake ilijaribu kuazima vifaa vya kielektroniki vya Biometric Voters Registration (BVR) katika nchi ya Kenya na Nigeria kwa ajili ya kuandikisha wapiga kura, lakini nchi hizo zilikataa.

 

10 years ago

Mwananchi

Xaver: Nimenunua daladala kwa kazi ya kuchomelea

Mafanikio: Miaka mitatu ya kazi hii nimefanikiwa kununua gari (daladala), kiwanja, nina somesha ndugu zangu na familia inanitegemea.

 

10 years ago

Mwananchi

Siti za daladala zauzwa kwa Sh500 Dar

Kwa mjamzito, mama mwenye mtoto, mzee au mtu mwingine yeyote mwenye matatizo, sasa anatakiwa kulipa fedha zaidi ya nauli ya daladala iwapo anataka nafasi ya kukaa.

 

10 years ago

Habarileo

Daladala 1,800 zajiokoa kwa kuungana na UDA

UWEZEKANO wa kufa kwa sehemu kubwa ya biashara ya daladala jijini Dar es Salaam umepungua, baada ya wamiliki wa biashara hiyo kuingia mkataba na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), ili kuendesha Mradi wa Mabasi ya Kasi Dar es Salaam (DART).

 

10 years ago

Mwananchi

Wamiliki wa daladala kuendesha Dart kwa hisa

Ofisi ya akala wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart), imesema wamiliki wa daladala watakaoathirika na mradi huo watakuwa na nafasi ya kuuendesha katika mfumo wa hisa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani