Daladala 1,800 zajiokoa kwa kuungana na UDA
UWEZEKANO wa kufa kwa sehemu kubwa ya biashara ya daladala jijini Dar es Salaam umepungua, baada ya wamiliki wa biashara hiyo kuingia mkataba na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), ili kuendesha Mradi wa Mabasi ya Kasi Dar es Salaam (DART).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 May
Daladala 1,800 kuporwa tonge
DALADALA 1,800 zinazofanya safari zake kati ya Kimara na Kivukoni, zinatarajiwa kuondolewa katika barabara hiyo yenye wateja wengi, baada ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart).
11 years ago
Tanzania Daima25 Aug
UDA, wamiliki daladala Dar es Salaam wapongezwa
UONGOZI wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), pamoja na wamiliki wa daladala mkoa wa Dar es Salaam, wamesaini mkataba wa makubaliano ya kushirikiana kwa lengo la kushinda zabuni ya...
11 years ago
TheCitizen24 Aug
Daladala, Uda sign pact on Dart project
10 years ago
GPLDALADALA, UDA WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA MABASI YAENDAYO KASI DAR
10 years ago
Vijimambo
Vigogo wawili jela kwa ubadhirifu wa Sh 13,395,800.

Hukumu hiyo inahusisha ununuzi hewa wa korosho katika msimu wa mwaka 2010/2011 dhidi ya washtakiwa hao waliokuwa watia saini benki katika akaunti ya biashara ya Naipanga...
10 years ago
GPL
WATU ZAIDI YA 800 WAPOTEZA MAISHA KWA JOTO KALI PAKISTAN
11 years ago
Tanzania Daima10 Oct
UDA wagoma kwa muda
MADEREVA wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), wanaofanya safari kati ya Mnazi mmoja na Kivukoni jana waligoma kwa muda wakipinga agizo la uongozi la kuwataka wapeleke hesabu ya...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Uda zakamatwa kwa kukiuka sheria
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
UDA kuuza tiketi kwa njia ya mtandao
Na Mwandishi Wetu,
KAMPUNI ya Simon Group Limited inayomiliki Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) imetangaza kuanza mpango wa kuuza tiketi kwa njia ya mtandao ili kuondoa msongmano na adha kwa watumiaji.
Mbali ya hatua hiyo, imesisitiza dhamira yake ya kuboresha sekta ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam licha ya kampeni zinazoendelea kutoka kwa washindani binafsi ikiwa na lengo la kuvuruga mpango unaoendelea wa uwezekezaji katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ili waweze...