Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siti za daladala zauzwa kwa Sh500 Dar

Kwa mjamzito, mama mwenye mtoto, mzee au mtu mwingine yeyote mwenye matatizo, sasa anatakiwa kulipa fedha zaidi ya nauli ya daladala iwapo anataka nafasi ya kukaa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWANAMKE AJERUHIWA KWA KUGONGWA NA DALADALA URAFIKI, DAR

 MWANAMKE mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa ni mkazi wa Dar leo asubuhi aligongwa na gari aina ya…

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yasaka ubingwa kwa Sh500 mil

‘Maisha yanakwenda kasi’, huo ndio ukweli baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Azam kutumia Sh565 milioni kusajili nyota sita akiwamo mchezaji ghali zaidi msimu huu, Leonel Saint-Preux.

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka posho ya Sh500,000 kwa siku

Mzimu wa posho umeibuka upya katika Bunge la Katiba, safari hii wajumbe wake wa Kamati ya Uandishi wakiomba walipwe posho maalumu ya Sh500,000 kwa siku kutokana na kazi ya kuandika Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

 

5 years ago

Michuzi

DALADALA DAR WAANZA KUBEBA ABIRIA KWA MTINDO WA 'LEVEL SEAT'... WAKAZI WAONJA RAHA NA KARAHA YAKE.


Na Said Mwishehe, Michuzi TV

MAGARI ya usafiri maarufu kwa jina la Daladala leo yameanza kubeba abiri kwa idadi ya viti 'Level Seat' ikiwa ni mkakati wa kupambana na  kuenea kwa virusi vya  Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19.

Utaratibu huo umeanza leo Machi 31 mwaka huu wa 2020 na hivyo kwenye vituo mbalimbali vya daladala mamia ya abiria ya wakazi wa Jiji hilo wameonekana wakiwa kituoni kwani daladala nyingi zilikuwa zikifika vituoni yakiwa yameshajaa abiria kutokana na utaratibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yatumia Sh500 mil kwa nyota wanane

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wametumia zaidi ya Sh500 milioni kununua wachezaji nyota wanane katika kipindi cha miaka tatu.

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akutana na Viongozi wa Taasisi ya Siti Binti Saad

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad Bibi Nasra Mohamed Hilal(wanne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda pamoja na mlezi wa Taasisi hiyo Rais Mstaafu awamu ya pili Mhe.Ali Hassan Mwinyi ikului jijini Dar es Salaam leo.(picha na Freddy Maro)

 

11 years ago

GPL

DALADALA YAUA DAR

  Gari aina ya Toyota Coaster  inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari  jijini Dar. Maiti bado zipo eneo la tukio, habari zaidi zitakujia hivi punde.!

 

10 years ago

TheCitizen

What it is like to commute by daladala in Dar

Mbagala Rangi Tatu Bus Terminal is a tidal wave of minibuses, motorcycles, trucks, shops, kiosks, hawkers, food stall owners and yelling daladala conductors. It has to be one of the most congested spots in all of the country.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani