Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yasaka ubingwa kwa Sh500 mil

‘Maisha yanakwenda kasi’, huo ndio ukweli baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Azam kutumia Sh565 milioni kusajili nyota sita akiwamo mchezaji ghali zaidi msimu huu, Leonel Saint-Preux.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Yanga yatumia Sh500 mil kwa nyota wanane

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wametumia zaidi ya Sh500 milioni kununua wachezaji nyota wanane katika kipindi cha miaka tatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwananchi FC yasaka ubingwa EA

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi ameikabidhi bendera ya Taifa, timu ya Soka ya Kampuni ya Mwananchi Commnications Limited (Mwananchi FC), na kuitaka ipambane kikamilifu na kuhakikisha inatwaa ubingwa wa Afrika Mashariki kwenye Michuano ya Kombe la Standard Chartered.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania ashinda Sh500 mil

Mshindi wa Big Brother Africa Hotshots 2014, Idris Sultan (21) amesema anataka kuwa mfano wa kuigwa kwa kuwa amejifunza mengi kwa washindi waliopita wa mashindano hayo ya televisheni ya maisha halisi.

 

11 years ago

Mwananchi

Taasisi yasaidia Saccos Sh500 mil

Mradi wa kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo, umetoa mikopo ya Sh590 milioni kwa vyama saba vya Kuweka na Kukopa (Saccos) ili kuwakopesha wanachama wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mikataba kuikamua Yanga Sh500 mil

Klabu ya Yanga ipo hatarini kupoteza mamilioni ya fedha kama fidia kutokana na kutothamini, kutoheshimu mikataba baina yake na wadau mbalimbali wa soka ndani na nje ya nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

African Sports yasaka Sh50 mil

Wakati michuano ya soka ya mabingwa wa mikoa ikitarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10, klabu ya African Sports, ambayo ni bingwa wa Mkoa wa Tanga, inasaka zaidi ya Sh50 milioni kufanikisha ushiriki wake.

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAWAPA TANO AZAM KWA KUTWAA UBINGWA VPL

Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampumi hiyo, Salum Mwalim. Mdhamini Mkuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wameipongeza timu ya Azam FC kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa 2013/2014 ikiwa ni Mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake miaka 7 iliyopita. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Mbeya City na Azam FC kwenye uwanja wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Azam FC yasaka saini ya Mzambia

Dar es Salaam. Matajiri wa Chamazi, Azam wameanza harakati za kuisaka saini ya mshambuliaji wa Power Dynamos ya Zambia, Jimmy Ndhlovu anayetajiwa kutua nchini Jumatano.

 

11 years ago

Michuzi

AZAM FC KULAMBA MILIONI 75 KWA KUTWAA UBINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM

Meneja uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania, Salum Mwalim, akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa kutangaza zawadi za washindi wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, ambapo Azam FC ambaye ndie bingwa atanyakua Milioni 75. Pamoja nae katika picha, wa kwanza kutoka kulia kwake  niAfisa Habari wa TFF, Boniface Wambura  na Afisa Matukio na Udhamini wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude. Mdhamini Mkuu wa Ligi kuu Vodacom Tanzania Bara kampuni ya Mawasiliano  ya Vodacom...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani