African Sports yasaka Sh50 mil
Wakati michuano ya soka ya mabingwa wa mikoa ikitarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10, klabu ya African Sports, ambayo ni bingwa wa Mkoa wa Tanga, inasaka zaidi ya Sh50 milioni kufanikisha ushiriki wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Maguli ataka Sh50 mil kurudi Simba
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Azam yasaka ubingwa kwa Sh500 mil
9 years ago
Habarileo09 Sep
African Sports yaihadharisha Simba
UONGOZI wa timu ya soka ya African Sports ya Tanga umesema kuwa Simba isitarajie mteremko kwenye mchezo wa Jumamosi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
9 years ago
Habarileo25 Aug
African Sports yaipania Simba
TIMU ya soka ya African Sports “Wana Kimanumanu” ya Tanga imetamba kuwa itaifunga Simba katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Septemba 12, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
African Sports, Mwadui kusaka bingwa
9 years ago
Mwananchi04 Sep
African Sports, imerudi kubipu au kupiga?
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Dylan Kerr aishika pabaya African Sports
NA ONESMO KAPINGA, TANGA
KOCHA Mkuu wa Simba Mwingereza, Dylan Kerr, ni kama aliwashika pabaya wachezaji wa African Sports baada ya kufanya uamuzi wa kwenda kuwasoma kabla ya kuvaana kwenye mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo amekiri alikuwa sahihi kwani aliweza kutambua uwezo wa mshambuliaji wao hatari, Novat Lufungo.
Kabla ya kukutana na African Sports juzi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Kerr alishawasoma wapinzani wake na kugundua umahiri wa mshambuliaji huyo hatari...
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Mtihani kwa Mbeya City, African Sports
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Simba yaandaa dozi kwa African Sports