Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


African Sports yasaka Sh50 mil

Wakati michuano ya soka ya mabingwa wa mikoa ikitarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10, klabu ya African Sports, ambayo ni bingwa wa Mkoa wa Tanga, inasaka zaidi ya Sh50 milioni kufanikisha ushiriki wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Maguli ataka Sh50 mil kurudi Simba

Mshambuliaji wa Stand United na kinara wa mabao katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Elius Maguli ameitaka Simba kumpa dau la Sh50 milioni ili kumwaga wino wa kuichezea klabu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yasaka ubingwa kwa Sh500 mil

‘Maisha yanakwenda kasi’, huo ndio ukweli baada ya mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Azam kutumia Sh565 milioni kusajili nyota sita akiwamo mchezaji ghali zaidi msimu huu, Leonel Saint-Preux.

 

9 years ago

Habarileo

African Sports yaihadharisha Simba

UONGOZI wa timu ya soka ya African Sports ya Tanga umesema kuwa Simba isitarajie mteremko kwenye mchezo wa Jumamosi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

 

9 years ago

Habarileo

African Sports yaipania Simba

TIMU ya soka ya African Sports “Wana Kimanumanu” ya Tanga imetamba kuwa itaifunga Simba katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Septemba 12, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

African Sports, Mwadui kusaka bingwa

Timu vinara wa makundi ya Ligi Daraja la Kwanza, African Sports ya Tanga na Mwadui ya Shinyanga zitaumana Jumapili kwenye mchezo wa fainali wa kusaka bingwa wa ligi hiyo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

African Sports, imerudi kubipu au kupiga?

Ghafla, klabu ya African Sports ya Tanga imerudi katika Ligi Kuu nchini. Ilikuwa ni raha ya aina yake kuitazama zamani.

 

9 years ago

Mtanzania

Dylan Kerr aishika pabaya African Sports

kerr kazini simba 34NA ONESMO KAPINGA, TANGA

KOCHA Mkuu wa Simba Mwingereza, Dylan Kerr, ni kama aliwashika pabaya wachezaji wa African Sports baada ya kufanya uamuzi wa kwenda kuwasoma kabla ya kuvaana kwenye mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo amekiri alikuwa sahihi kwani aliweza kutambua uwezo wa mshambuliaji wao hatari, Novat Lufungo.

Kabla ya kukutana na African Sports juzi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Kerr alishawasoma wapinzani wake na kugundua umahiri wa mshambuliaji huyo hatari...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtihani kwa Mbeya City, African Sports

Mbeya City na African Sports zitashuka uwanjani leo kwenye mechi zinazoweza kuwa ufufuo au majanga kutokana na aina ya matokeo yao.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yaandaa dozi kwa African Sports

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya wengi kuibeza timu hiyo na kuona haitafanya vizuri msimu huu, lakini anaamini itawanyamazisha wote kwa kutwaa ubingwa msimu ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani