Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dylan Kerr aishika pabaya African Sports

kerr kazini simba 34NA ONESMO KAPINGA, TANGA

KOCHA Mkuu wa Simba Mwingereza, Dylan Kerr, ni kama aliwashika pabaya wachezaji wa African Sports baada ya kufanya uamuzi wa kwenda kuwasoma kabla ya kuvaana kwenye mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo amekiri alikuwa sahihi kwani aliweza kutambua uwezo wa mshambuliaji wao hatari, Novat Lufungo.

Kabla ya kukutana na African Sports juzi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Kerr alishawasoma wapinzani wake na kugundua umahiri wa mshambuliaji huyo hatari...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

UFUNDI: Dylan Kerr aanika kilichoiua Simba

Wakati kocha wa Simba, Dylan Kerr akiwatupia lawama mabeki wake kwa kukosa umakini, mwenzake Hans Pluijm wa Yanga amesema aligundua udhaifu huo na kutumia mbinu ya kucheza mipira mirefu iliyowapa ushindi wa mabao 2-0 juzi.

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr aibuka Tanga, aisoma African Sports kimya kimya

dylanker-haiphongOSCAR ASSENGA, TANGA NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, juzi ametumia muda wa dakika 90 kukisoma kikosi cha timu ya African Sports “Wanakimanumanu”, wakati ikicheza mchezo wa kirafiki na Coastal Union kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

Kocha huyo alitua Tanga kimya kimya ili kuweza kukijua vizuri kikosi cha ‘Wana kimanumanu’, kabla hawajakutana kwenye ufunguzi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara Septemba 12, mwaka huu.

Mchezo huo wa kirafiki ulimalizika kwa Coastal Union...

 

9 years ago

TheCitizen

Now Kerr targets Toto African scalp in tricky VPL encounter

Simba SC head coach Dylan Kerr has championed the Msimbazi Reds as genuine contenders for the Mainland Premier League title.

 

9 years ago

Habarileo

African Sports yaihadharisha Simba

UONGOZI wa timu ya soka ya African Sports ya Tanga umesema kuwa Simba isitarajie mteremko kwenye mchezo wa Jumamosi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani.

 

9 years ago

Habarileo

African Sports yaipania Simba

TIMU ya soka ya African Sports “Wana Kimanumanu” ya Tanga imetamba kuwa itaifunga Simba katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Septemba 12, mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

African Sports yasaka Sh50 mil

Wakati michuano ya soka ya mabingwa wa mikoa ikitarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10, klabu ya African Sports, ambayo ni bingwa wa Mkoa wa Tanga, inasaka zaidi ya Sh50 milioni kufanikisha ushiriki wake.

 

10 years ago

Mwananchi

African Sports, Mwadui kusaka bingwa

Timu vinara wa makundi ya Ligi Daraja la Kwanza, African Sports ya Tanga na Mwadui ya Shinyanga zitaumana Jumapili kwenye mchezo wa fainali wa kusaka bingwa wa ligi hiyo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

African Sports, imerudi kubipu au kupiga?

Ghafla, klabu ya African Sports ya Tanga imerudi katika Ligi Kuu nchini. Ilikuwa ni raha ya aina yake kuitazama zamani.

 

9 years ago

Mwananchi

Mtihani kwa Mbeya City, African Sports

Mbeya City na African Sports zitashuka uwanjani leo kwenye mechi zinazoweza kuwa ufufuo au majanga kutokana na aina ya matokeo yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani